Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Weye piga nyeto acha kutoroka nyeto tamu halafu haina gharama
 
Tumia simu ndogo mkuu achana na simu kubwa kwa mda wa mwaka mmoja itakusaidia mimi nilikuwa addicted na kubet yaani nilikuwa nikiweka hela kwenye tigo pesa yote naibetia,

nikaamua kukaa mwaka mmoja bila kutumia smart phone japo matukio nilikuwa nayoana kwa marafiki zangu naomba simu naingia WhatsApp Instagram fb kwa account zao mpaka leo hii kubet naona imekuwa historia kwangu.
 
Ahsante sana ngoja nifanye hivo
 
Kuwa bize kutafuta pesa.
Usipende sana kulala, kuangalia xvideo.

Nyeto inaleta UTI, Maumivu ya mgongo, joint kuishiwa nguvu..


Mazoea mabaya..
 
Hahahaha pole sana mdogo wangu

Cha kufanya hapo wewe kuwa mpole tu huwezi kukimbia chama kizembe na kiuwepesi kiasi hiko

Tafuta mademu kadhaa uwe unajipigia daily utakuja kunishukuru
 
Nyeto huwa haiachwi mzee wng mm mwenyewe sometimes huwa nashitua shitua hata kama nimetoka kupga demu 15 min ago ili mradi anipe shoo nzuri ili kumuenzi naona ni bora nimsindikiziea na nyeto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23] daaah ww kweli bahalia
 
Daaaah mimi toka matukio ya Panya road kuingia kitaani. Nakumbuka siku hiyo nilijificha kwa jirani mida ya 3 ile nje watu hamna kila mtu kajifungia kwake kuogopa Panya road nakumbuka nilikua natetemeka(am young 19)nikiwaza leo wakiingia hapa nakufa alaf nitasemaje kwa Mungu? (wakat huo nina ma X video kama yote kwenye cm),nikaapia kutubu kabisa "ewe Allah nisamehe mm sitarudia tena kuangalia video za X,Nisamehe Mungu wangu"Nashukuru baada ya tukio lile ilikua kama 2 May sijapiga wala kuangalia na hata kutarajia sitarijii Mungu ananisamamia.
Nb:wanasemaga huwez kuacha Ila unapumzika kwa muda😂nami nipo makini nisirudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…