Ni jambo ambalo nashindwa kufikiria nitachomokaje maana naona kila kona nimeshikwa hata upenyo wa kupumua kwa walau wiki mbili nakosa
Nitalazimisha wee makofi mazito yanakuja akilini bila maumivu ila ni ushawishi mzito ammbao nahisi ni mashetani wale ambapo walijaribu Yesu au Eva kula tunda
Sometime baada ya hilo jambo najihukumu sana sana na kuapia kwa Sir God sirudii ya pite masaaa sasa wakati na chek Music nikaona kapaja naanza kusikia akili inanambia wewe fanya tena hilo jambo kwa mara ya mwisho
Nashindwa kujisimamia japo na jua jambo lina madhara mengi sana ila sasa kuacha nahisi sijapangiwa naamua kwa dhati ila ushawishi wa jambo hilo plus redwap yananicost sana
Help Somebody need help over here la sivyo nitakufa maaan now is tooooooo much sasa hiki chama chenu sikiiitaji tena nipeni mbinu za kushinda na hii tabia wenzangu
Nimeichoka Chaputa
#Mfichamaradhikifohumuumbua
Naishi Milele