Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Faida yake ni kuwa hii inasadia kuipa nguvu mishipa ya uume wako na kuweza kurudisha hali yake ya nguvu kama awali.


Kama awali yake ni udhaifu maana yake nini?
 
Nioneshe kijana wa 29-45 ambaye hajapiga punyeto nami nitakuonyesha wajerumani walipoficha rupia
 
Nioneshe kijana wa 29-45 ambaye hajapiga punyeto nami nitakuonyesha wajerumani walipoficha rupia
Labda useme miaka 21 hadi 30 ambayo ni miaka ya shule, kuanzia 30+ ni miaka ya kuoa, tayari una pesa yako, unapigaje punyeto ilhali una pesa au mke ?
 
Ndiye huyu huyu kaja anayeonekana humu kwenye hii thread. Wewe unaona kuna wa kuweza haya matibabu kweli, yaani unapewa matibabu ili ukosee akwambie wewe ndo ulikosea ili usimlaum kwa lolote.
Unanikosea sasa jamaa angu sihusiani na mtu uliemtaja mbona watu kibao tu wananifahamu hadi jina langu?

Nenda jukwaa la Burudani kaka lakini pia sijawahi kuchukua pesa ya mtu na elimu yangu ya darsani na mtaani huwa napenda kutoa bure kabisa bila malipo mwenye kufuata afuate mwenye kuacha aache
So usiwaminishe watu kuhusu ubin wangu ndug
 
Punyeto is ovarrated..kama kuna watu wanasex kila siku na nguvu hazipungui??,,kwanini mpiga punyeto nguvu zipungue..

Punyeto effects zinatibiwa pyschologically kushinda hivyo vyote ulivovisema..ila kama ni ile punyeto ambaye haikuwa excessive(mfano,kwa siku mara mbili)
 
Unanikosea sasa jamaa angu sihusiani na mtu uliemtaja mbona watu kibao tu wananifahamu hadi jina langu?

Nenda jukwaa la Burudani kaka lakini pia sijawahi kuchukua pesa ya mtu na elimu yangu ya darsani na mtaani huwa napenda kutoa bure kabisa bila malipo mwenye kufuata afuate mwenye kuacha aache
So usiwaminishe watu kuhusu ubin wangu ndug
Karne hii unafanya kazi ambayo haina malipo, unakula wapi ?
 
Back
Top Bottom