Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Too young kuacha, we endelea kupiga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
but nahitaji kuacha kwan unadhan cjui mm youngToo young kuacha, we endelea kupiga tu.
Dah! bado sijapata nilichotegemeaTafuta dem faster, kwa umri wako hiyo ndio dawa pekee ya kuacha punyeto.
NB. Usisababishe mimba, na tumia kinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakubwa poleni majukumu ya kila siku
sababu ya kuleta huu uzi ni kuomba msaada namna ya kuacha kujichua
Ni miaka 3 imepita toka niingie katka huu mchezo nimejtahd kuacha but simalizi hata mwezi anarudi tena
ki ukweli imensababishia maisha yangu kuwa namaumivu ya mgongo,uchovu muda mrefu,kushindwa kusimama kwa muda mrefu hyo physical lakn hata kiakil imenifanya nasahau mambo kwa haraka,nimepoteza kujiamin muda wote najiona mkosaj
kwa waliocha naomba msaada wa mawazo,ushauri,nk
lakin pia kwa wanaoendelea usijidanganye kuwa hakuna madhara
mimi ni kijana wa miaka 19
nawasilisha
Kaka mkubwa, tunaomba utufafanulie kidogo uhusiano uliopo kt ya chumvi na punyeto.Jitakase mwili wako kwa kuogea chumvi ya mabonge mara 3 kwa siku
Jr[emoji769]
Mkuu wewe piga tuu achana na huyuu...Chumvi haizuii kitu cha muhimu aache kuangalia Ponoo na kupiga mastory ya ngono but muhimu sana ATAFUTE DEMU PERMANENT hiyo ndio dawa kubwaa..Kaka mkubwa, tunaomba utufafanulie kidogo uhusiano uliopo kt ya chumvi na punyeto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitakase mwili wako kwa kuogea chumvi ya mabonge mara 3 kwa siku
Jr[emoji769]
ee aelezee vzuriKaka mkubwa, tunaomba utufafanulie kidogo uhusiano uliopo kt ya chumvi na punyeto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka mkubwa, tunaomba utufafanulie kidogo uhusiano uliopo kt ya chumvi na punyeto.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mshana bwana !hebu toa elimu iyo mpya
Punyeto ni pepo na chakula chake ni manii... Pepo ni roho chafu, kadiri unavyojichua ndio unavyoalika mapepo wengi kwenye karamu ya manii ndio maana inapokuja hamu ya kujichua huwezi kujizuia hata tufanyeje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mshana bwana !hebu toa elimu iyo mpya
Mkuu wewe piga tuu achana na huyuu...Chumvi haizuii kitu cha muhimu aache kuangalia Ponoo na kupiga mastory ya ngono but muhimu sana ATAFUTE DEMU PERMANENT hiyo ndio dawa kubwaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Punyeto ni pepo na chakula chake ni manii... Pepo ni roho chafu, kadiri unavyojichua ndio unavyoalika mapepo wengi kwenye karamu ya manii ndio maana inapokuja hamu ya kujichua huwezi kujizuia hata tufanyeje
Chumvi ya mabonge inatakasa mwili na kukukinga na nguvu zote za giza yakiwepo mapepo.. Kitendo cha kuitumia ni sawa na Mmasai kuingia kwenye disco na sime.. Hakuna atakayebaki
Dalili za kwamba mapepo ya punyeto yamekimbia
Utakosa hamu ya kujichua
Hutatamani kujichua tena
Hutaota ndoto mbaya tena
Utalala usingizi mnono bila kustukastuka
mapepo hushikilia hata njia zetu za mafanikio.. In fact huziwekea giza kwakuwa ukiwa busy una mambo muhimu ya kufanya hutapata muda wa kuwaza punyeto na automatically mapepo yatakosa chakula kitu ambacho hayataki hili litokee
Kama wewe ni mwathirika wa punyeto na mambo yako hayaendi na hulalli vizuri huku ukiandamwa na ndoto za ajabu na za kutisha jaribu chumvi sasa.. Hutajuta
Jr[emoji769]
Iyo chumvi ndo yanamna gani Bwana Mshana? Kwaiyo Kuna manuizo unafanta au inakuaje, unaweza toa mwongozo kamili kuanzia kwenye maandalizi ?