Apo uwez oa unadungua nyeto tu maana mihemko ya balehe unaweza baka bora ata nyeto watu waliojua madem mapema wameishia kuacha shule, na kupata matatizo mengi tu ila nyeto inaepusha wengi na hayo madhila
Well sidhani kama hilo ndio suluhisho la kukabiliana na mabadiliko ya kimwili coz masturbation ina madhara both physically and spiritually!!
Baadhi ya Madhara ni haya;
1. Masturbation inaleta self condemnation and guilty
2. Its addictive
3. Inafungua mlango wa roho chafu (nguvu za giza kumuingia mtu) kwa mwanaume (spiritual wife) kwa mwanamke (spiritual husband)
Sasa ukiwa na spiritual wife/husband hata kwenye eneo la mahusiano kimwili linaweza kuwa na changamoto sana hasa kudumu kwenye mahusiano!!
Mtu anaweza kuingia kwenye mahusiano lakini hasifikie hatma ya ndoa kwa sababu spiritually tayari anakua kwenye ndoa na roho chafu.
4. Masturbation inaweza kumpelekea mtu kukosa uwezo wa kumpa mwanamke ujauzito kwani husababisha(Low sperm count) kutokanana mtu kupoteza mbegu nyingi kwenye tendo hilo.
5. Pia huaribu mfumo wa kufikiri wa mtu;
Mara nyingi mtu aliye kwenye kifungo cha punyeto hujikuta anapoangalia porn au anapomuona mwanamke na kumtamani huvuta hisia katika mawazo yake na baadae hujikuta akifanya masturbation kwa ku imagine anafanya tendo na muhusika aliyemuona either live au kupitia mtadaoni.
6. Humkosesha mtu baraka kutoka kwa Muumba wake.
Kwa Mkristo punyeto ni tendo linalosababishwa na tamaa ya mwili na maandiko yapo dhahiri kuwa wafuatao matendo ya mwili hawatarithi baraka za ki Mungu
7. Pia husabisha uadui baina ya mtu na Mungu wake. since masturbation ni product ya tamaa ya mwili
Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu
RUM. 8:7
So Mungu akiwa adui yako aisee unaponea wapi katika ulimwengu huu wa sasa?
Madhara yapo mengi sana na kwa wale wanaopambana kutoka nawatakia kuishinda hii vita kwa msaada wa Mungu!!
For those wo see masturbation is good naheshimu misimamo yenu lakini pia Mungu awafunulie kuona kuwa hampo katika njia sahihi ili muweze kugeuka na kuacha!!
Apo uwez oa unadungua nyeto tu maana mihemko ya balehe unaweza baka bora ata nyeto watu waliojua madem mapema wameishia kuacha shule, na kupata matatizo mengi tu ila nyeto inaepusha wengi na hayo madhila