sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ndio naskia kwako hii, any way source ni wapiHiyo ni njia ndogo sana ambayo YouTube anaingiza hela ila kikubwa anachofanya anaongea na makampuni Mama ya mitandao ya simu kama Vodafone, Bharti Airtel, At&T yale giants mobile operator then wanauza bundle mfano umenunua bundle ya 1,000 ume stream YouTube katika 1,000 yako YouTube wana percent yao pale
Hiyo ni njia ndogo sana ambayo YouTube anaingiza hela ila kikubwa anachofanya anaongea na makampuni Mama ya mitandao ya simu kama Vodafone, Bharti Airtel, At&T yale giants mobile operator then wanauza bundle mfano umenunua bundle ya 1,000 ume stream YouTube katika 1,000 yako YouTube wana percent yao pale
Uongo
Hiyo ni kweli... wana kitu kinaitwa bandwidth meter.. hivyo wanamonitor mb zinazotumika youtube kwa kila ISP . Na huwa wanamdai chao.. maana bila wao voda ama tigo hauzi mb nyingi
Ila njia nyingine ni hiyo ya matangazo pia wanavuta hela kwa makampuni yanayoweka matangazo
Ndio naskia kwako hii, any way source ni wapi
Hiyo ni kweli... wana kitu kinaitwa bandwidth meter.. hivyo wanamonitor mb zinazotumika youtube kwa kila ISP . Na huwa wanamdai chao.. maana bila wao voda ama tigo hauzi mb nyingi
Ila njia nyingine ni hiyo ya matangazo pia wanavuta hela kwa makampuni yanayoweka matangazo
Nahisi kuna ukweli hapaHiyo ni njia ndogo sana ambayo YouTube anaingiza hela ila kikubwa anachofanya anaongea na makampuni Mama ya mitandao ya simu kama Vodafone, Bharti Airtel, At&T yale giants mobile operator then wanauza bundle mfano umenunua bundle ya 1,000 ume stream YouTube katika 1,000 yako YouTube wana percent yao pale
Malipo yanategemea mamboo mengi ikiwemo niche (mfano kama content zinahusu technology utapata zaidi), location ya mtazamaji, ametazama tangazo kwa muda gani, na mambo mengine. Ila roughly ina range dollar 1-3 kwa watazamaji 1000 toka nchi hizi za bara let japo nchi kama USA na Maldives unakuta mfano Maldives kuna kipindi ilikuwa ina hadi CPM ya 15$ kwa views 1000Habari ndugu.
Kama kichwa cha maada kinavyojieleza, naomba mwenye ufahamu ya jinsi malipo YouTube kutokna na Viewers yanavyolipwa.
Asante