Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

High Vampire

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,915
Reaction score
2,134
Naona watu siku hizi magari haya ya Nissani Extrail wananunua sana.

Je, wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu.




BAADHI YA MAWAZO YALIYOTOLEWA NA WADAU KUHUSU GARI HII
---

---
---
---
---
---
---
---
 
Naona watu siku hizi magari haya ya nissani extrail wananunua sana je wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu

Asante High Vampire kwa uzi mzuri.
Naomba nijue ubovu wa hz nissan x-trial.

Binafsi nazipenda coz naona ni gari yenye nafasi sana na je kwa ushauri wako kama nataka kuagiza nikiagiza Voxy au Noah ntakuwa nimecheza vema na opportunity cost (kwa ku forgone xtrial)

Asante.
 
Last edited by a moderator:

Kama una hela nunua tu ukiambiwa uagize nairobi unatoa tu ila kama hela za mawenge nunua kampuni ya toyota
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…