Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe mkuu haziko vizuri,hata nje wameshusha sana bei ili zitoke ndiyo maana watu wengi wananunua pasipo kujua kuwa ni bei promo..
nissan zinahitaji discipline ya matumizi sana....hii ikijumuisha uendeshaje wako na mengineyo...ikiwemo na spea..! nina nissan note, ila service yake nia shughuli....gear box oil..NS2 ni laki tatu na upuuuzi....heheeeee
naambiwa ugonjwa wake mkubwa ni kuchanganya oil na maji
Kwa ujumla gari isiyo manual ni tatizo. Ni kweli vipuli vya Nissan ni vya ghari sana but kama ni manual utaendesha hadi uchoke. Mimi ninayo double cabin ( Nissan YD) tena ya under licence kutoka SA , huu ni mwaka wa Tatu haijawahi haribika hata kidogo.
There is a special oil for nissan xtrail....sikumbuki jina lake but mafundi wa nissan xtrail wanazijua....Mkuuu rudi moja hiyo oil utaipata wapi na inaitwaje hii itasaidia kwa wale wanaotaka kununua na hata walionazo naomba uje tena utuambie
Gàri za kiume...