Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Sure jamaayangu jana tu na toa engine kaweka rav 4 hatarii hapa hata kipupwe hapat
 
Naona watu siku hizi magari haya ya nissani extrail wananunua sana je wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu
Ndugu nissan xtrail haina shida hata kidogo...hii gari inahitaji kufuata masharti yake elekezi....hii gari inatumia oil ya nissan extrail tu...hivyo watu wengi wanapofanya service huwa wanatumia oil ambayo not recommended kwa xtrail.

But mtu ukitumia oil yake utaifurahia sana hii gari....ni gari nzuri....ni gari ya safari. Tatizo letu Watanzania tunapenda kufanya maamuzi kwa kutumia maneno matupu ya watu. Changamoto ninayoiona kwa extrail ni bei ghari ya vipuli....but vipuli vyake ni imara na original na hudumu muda mrefu
 
PRESSURE PLATE ya gari hii kuna wakati ilikuwa inauzwa shillingi 2,500,000/= (milioni mbili na nusu)
Wakati spea hiyo hiyo ya Toyota bei yake haizidi laki mbili
 
Kibongo bongo sababu tunapenda kuunga unga Xtrail tunaona hazitufai. Maana haina kufoji sasa sisi tushazoea shortcut. Mimi ninayo kwa mda mrefu sasa ukweli inataka ufwate masharti ya service na ikiharibika usitafute shortcut jipinde tu. Spare zake siku hizi ni cheap.
 
Ndugu nissan xtrail haina shida hata kidogo...hii gari inahitaji kufuata masharti yake elekezi....hii gari inatumia oil ya nissan extrail tu...hivyo watu wengi wanapofanya service huwa wanatumia oil ambayo not recommended kwa xtrail...but mtu ukitumia oil yake utaifurahia sana hii gari....ni gari nzuri....ni gari ya safar..tatizo letu watanzania tunapenda kufanya maamuzi kwa kutumia maneno matupu ya watu.....changamoto ninayoiona kwa extrail ni bei ghari ya vipuli....but vipuli vyake ni imara na original na hudumu muda mrefu

Mkuuu rudi moja hiyo oil utaipata wapi na inaitwaje hii itasaidia kwa wale wanaotaka kununua na hata walionazo naomba uje tena utuambie
 
Kibongo bongo sababu tunapenda kuunga unga Xtrail tunaona hazitufai. Maana haina kufoji sasa sisi tushazoea shortcut. Mimi ninayo kwa mda mrefu sasa ukweli inataka ufwate masharti ya service na ikiharibika usitafute shortcut jipinde tu. Spare zake siku hizi ni cheap.

Oil unatumia ya aina gani na inaitwaje hebu mkuu funguka vizuri
 
Hakuna gari mbovu! Gari ni jinsi unavyoitumia na kufanya service, sasa kama unaendesha tu gari bila service gari unafikiri litadumu?

Ni kweli lakini mkuu tunaongelea namna ya kupata spea incase unapokuwa na tatizo hata kama unafanya service kikubwa spea utafanya sana service lakini kuna siku utataka kutoa kitu je kukipata shida na hata kikipatikana nako bei mbaya hauoni kuwa ni majanga
 
Kuana jamaa yangu aliuza kwa nusu bei baada ya kulitumia kwa miezi sita tu... Anasema ni shida hana hamu sikumdadisi zaidi

Mimi niliagiza hilo gari miaka ya 2010 ila lilinitesa sana akaja jamaa kutoka Iringa nikambambika nalo baada ya kukaa nalo mwaka tu na kuona kiama chake
 
Ndugu nissan xtrail haina shida hata kidogo...hii gari inahitaji kufuata masharti yake elekezi....hii gari inatumia oil ya nissan extrail tu...hivyo watu wengi wanapofanya service huwa wanatumia oil ambayo not recommended kwa xtrail...but mtu ukitumia oil yake utaifurahia sana hii gari....ni gari nzuri....ni gari ya safar..tatizo letu watanzania tunapenda kufanya maamuzi kwa kutumia maneno matupu ya watu.....changamoto ninayoiona kwa extrail ni bei ghari ya vipuli....but vipuli vyake ni imara na original na hudumu muda mrefu

Hiyo oil inapatikana wapi mkuu?
 
Back
Top Bottom