Harris bila shaka ni toleo jipya kuwahi kutolewa. Mm sijawahi kuisikia popote labda wanachama wa TLS watatudadavulia zaidi.Nataka kununua Harris new model au Prado old model IPI Nzuri kwa wajuzi wa Magari.
Nilimaanisha Harrer new modelHarris bila
Harris bila shaka ni toleo jipya kuwahi kutolewa. Mm sijawahi kuisikia popote labda wanachama wa TLS watatudadavulia zaidi.
Harrier.Nilimaanisha Harrer new model
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxNissan X-Trail ni Gari ya mawazo, INA sensor nyingi na zinakufa Vila utaratibu, na zikifa kuzipata being yako utalipaki tu. Pia spare zake ni aghali na hazipatikani kiurahisi kama Toyota. Mambo yote ni Toyota, unanunua unasahau cha kuzingatia ni service yenye quality tu.
Ndiyo maana kuna mtu kasema ni gari ya wenye pesa kama pesa yako ni yakuokoteza nunua Toyota.nissan zinahitaji discipline ya matumizi sana....hii ikijumuisha uendeshaje wako na mengineyo...ikiwemo na spea..! nina nissan note, ila service yake nia shughuli....gear box oil..NS2 ni laki tatu na upuuuzi....heheeeee
Hii ni kweli arusha na mosh zipo nying snaNi gari bomba sana xtrail. Nairobi na Arusha wanadunda na Nissan big time... Dar ujuaji mwiiingi na ubaguzi
Ata consumption ya mafuta ni kawaida tu utegemea na mizunguko ykomnao ponda nissan wote mm siungani na nyinyi tatizo lenu wabongo tumezoea vya kunyonga ndio maana.na wote hapo juu wanao ponda wameegemea kwenye vyakunyonga .sasa kwa wale walio zoea vya kuchinja kamata nissan huto juta kwanza ni gari ngumu sana.spare zake ni OG na.inadum zaidi kama utafuata taratibu za servive.
Kumbe cyo yako tenaDaah sasa itakuaje wakuu na mchuchu nilishamuahid nissan xtrail?
Mwaka tu mkuu unajiaminisha kiasi hicho?Mnaoponda kuhusu Nissan X trail mmezoea vya kunyonga, Nissan X trail ni gari nzuri sana mimi ninayo nina mwaka toka niinunue, hizi gari zinahitaji matunzo tuu utaifurahia, spare zake nyingi ni ghali kidogo lakini ni original na ukiifunga ni mkataba hakuna spare fake. Tatizo lolote linalojitokeza kwenye hizi gari hasa katika mfumo wa engine lazima computer ihusike kujua tatizo sio ulete fundi aanze kubahatisha tatizo la engine ni computer tuu ndo itatoa majibu sahihi. Kiujumla Nissan haitaji longolongo katika service na matengenezo so mtoa post chukua hiyo gari usiogope maneno ya waliozoea vya kunyonga.