angalia hii post yangu nilipost last year july 7 sasa ina miaka 2 na unusu, juzi nimetoka nayo arusha meru huko ndani ndani kwa joshua nassari njia ni off road na milima mikali lakini nimerudi zangu dar yaani mashine ipo vizuri utadhani nimeinunua leo.Mwaka tu mkuu unajiaminisha kiasi hicho?
Sikuangalia tarehe mkuu.angalia hii post yangu nilipost last year july 7 sasa ina miaka 2 na unusu, juzi nimetoka nayo arusha meru huko ndani ndani kwa joshua nassari njia ni off road na milima mikali lakini nimerudi zangu dar yaani mashine ipo vizuri utadhani nimeinunua leo.
Bado nashauri [emoji742]
-[emoji742]ni bonge la ndinga.
Spear tabu!! Au yeye ndio hana pesa acheni kuchanganya mambo hapa ufukara wake asisingizie spea tabu wakati yeye ndiye hana pesa za kununua spea genuine.Hizi gar ni majanga ipo moja ya jamaa yangu kaipaki ana lalamika spea tabu,
Sio kweli.
CHA KWANZA KABISA UMJUE FUNDI ANAEJUA KUTENGENEZA NISSAN XTRAIL NA SIO TAPELI. FUNDI MWENYE UJUZI NA MUELEWA NA SIO MWENYE TAMAA!
Mimi fundi wangu miaka yote ni fundi mmoja anaitwa Deo yuko pale Mwenge alifundishwa na Nissan Wenyewe, yuko karibu na Maryland Bar opposite ITV....
Tatizo lako maelezo uliyotoa hayajitoshelezi kabisa. Kama umeamua kuandika kitu ili watu wapate faida, ni bora ukaandika kwa mapana na marefu ili tusome uzi wenye nyama na tujiridhishe na kile unachokiongea.Naona watu siku hizi magari haya ya Nissani Extrail wananunua sana.
Je wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu.
Jamani mkitaja suluhisho la matatizo mnatutajia na mafundiUkiweka cylinder head mpya unamaliza tatizo, haitokusumbua tena.
Labda unaongelea Mahindra Vx na sio Toyota Vx.We huzijui hizi gari wala hujui jinsi ya kuitunzam
Nimetumia hii gari kwa miaka 6 (NT30) na kutembea nayo km165,000 katika kipindi hicho.
Hiyo gari ni tamu....nimeshapita nayo mahali kibao landcruiser vx zimenasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe uko na masters ya kutoa vibomu..Labda unaongelea Mahindra Vx na sio Toyota Vx.
Watajeni humu wataalamu wa nissan ili team nissan tufaidi Mshana JrHapo BIAFRA hao mafundi wanastahili TUZO aisee mm maji ya rejeta yanaisha haraka yaani ukitoka hom mwenge kufika posta mjini hamna maji. nikapeleka kwa makanjanja mwenge chini ya mwembe/karibu na tamal hotel full sanaa wanakula pesa gari haiponi, nilienda kuchukua RB nikamuweka ndani kisha nikaenda pale biafra jamaa katumia 30 mins. shida kwisha. *****.... Biafra noma...
Very correctXtrail ni gari ya kipppuz bora kununua vespa au SANLG kuliko xtrail
Ulisha wahi kumiliki hii gari ?Xtrail ni presha tupu
Ndio. Nilinunua 2010 nimebadilisha injini x 3 na ubovu wa sensor gharama za kuimaintain ni kubwa Sana Nimeipak ndani haiuziki. nimerudi kwenye Toyota Belta Wese, spea very cheap. Asanteni TOYOTAUlisha wahi kumiliki hii gari ?
Ndio. Nilinunua 2010 nimebadilisha injini x 3 na ubovu wa sensor gharama za kuimaintain ni kubwa Sana Nimeipak ndani haiuziki. nimerudi kwenye Toyota Belta Wese, spea very cheap. Asanteni TOYOTA
Toyota harrier nzuri zaidi ni za injini ya umeme VVti hazili sana mafuta kwa ujumla spea za harrier zote zipo kibao na cheap
Sio kweli kuna rafiki zangu 3 wote wana hizo hari na zinawatesa, waliagiza moja kwa moja japani, hakuna formula kua gari fulani ni nzuri/gari ile ni mbaya.Toyota harrier nzuri zaidi ni za injini ya umeme VVti hazili sana mafuta kwa ujumla spea za harrier zote zipo kibao na cheap
Sent using Jamii Forums mobile app
We rafiki yako anatumia mimi ninayo hapa nimeagiza Nagoya Japan mwaka Jana nimeshafanya service mara mbili huo ndio ukweli huwezi fananisha hiyo Nissan yako na Toyota Harrier spea zimejaa kariakoo gerezani na Machinga Karume we mpaka ukope pesa uagize spea Nairobi au DubaiSio kweli kuna rafiki zangu 3 wote wana hizo hari na zinawatesa, waliagiza moja kwa moja japani, hakuna formula kua gari fulani ni nzuri/gari ile ni mbaya, sensor za harrier bei yake ipo juu kama gari nyingine tu, mimi namiliki nissan xtrail, jinsi ilivyonitendea haki nina mpango wa kuagiza new model nissan xtrail ni gari nzuri unless umeuziwa magumashi ambapo ni kawaida kwa gari yyte ukiingia/ukibambikiwa
Umeongea vyema ila aya ya mwisho umeharibu..We rafiki yako anatumia mimi ninayo hapa nimeagiza Nagoya Japan mwaka Jana nimeshafanya service mara mbili huo ndio ukweli huwezi fananisha hiyo Nissan yako na Toyota Harrier spea zimejaa kariakoo gerezani na Machinga Karume we mpaka ukope pesa uagize spea Nairobi au DubaiView attachment 1445003
Sent using Jamii Forums mobile app