Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Watanzania ni wajuwaji tu lakini hamna kitu..
Tatizo watanzania si watunzani na ni wavivu wa kufikiri
Haya maxtrail mnayosema ni mabovu mbona wapo watu wamekaa nayo karibu miaka kumi sasa...
Kuna mtu hapa ana namba BAK na linapiga kazi freshi tu..
Tatizo watanzania si watunzani na ni wavivu wa kufikiri
Haya maxtrail mnayosema ni mabovu mbona wapo watu wamekaa nayo karibu miaka kumi sasa...
Kuna mtu hapa ana namba BAK na linapiga kazi freshi tu..