Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Naona umeongea kitheory zaidi. Ni vema unapotoa ushuhuda then uwe specific na open detailed.

Sasa unaposema oil za vibaba ndio kitu gani?!

Unaposema oil nzuri ndio zipi hizo?!
Kama unataka engine Oil ya Nissan Extail ambayo haitasumbubua, tafuta Castrol GTX 20W-50. Bei yake ni around 50,000/- kwa litre 5(Unatembea 3000 km before the next service) Kwa Gear box angalia kwenye oil stick imeandikwa matic, ila unaweza kununua nyingine inaitwa Atlantic (ipo kwenye kidebe cha bati) bei yake ni kuanzia shs 75,000-80,000 kwa litre 4 (unatembea 9000 km before the next service).
 
Hii gari ikichemsha incase umesahau kutia maji kwenye rejeta au inavuja ujue itaua piston blocks...hapo unakua huna namna zaidi ya kubadili Engine...ishanitia hasara ya Engine sina ham nayo...mafundi waliniambia Engine zake ni Alminium...
Hadi gari linaanza tabia ya kuchemsha kwann unazembea?!
 
Mimi sina gari wala bajaji, lakini nataka unipe maelezo ni kwa nini utowe thermostat, je hujawahi kuwauliza hao mafundi sababu?
Thermostat kazi yake ni kuratibu kiwango cha joto kwenye engine. Thermostat inachofanya ni kuzuia coolant au maji yasiingie katika engine hadi pale kiwango stahiki cha joto kikifikiwa na kuendelea kupanda kwenda juu then thermostat huruhusu coolant au maji kutoka kwenye engine kwenda haraka katika Radiator(Rejeta) kupozwa na kurejea katika engine hadi pale joto litakapokuwa standard....

Sasa shida inayowafanya mafundi kuitoa hiyo thermostat ni kwasababu wanataka kusiwe na stop and flow regulation ya coolant au maji kutoka na kwenda kwenye engine sababu ya baadhi ya watu kulalamika swala baadhi ya gari kuwa na shida ya kuoverheat nadhani ni kutokana na uzembe wa kuweka maji kwenye Radiator badala ya coolant, maji yanawahi sana ku evaporate ila coolant takes time......Unakuta mtu anaweka maji leo hatazami tena hadi taa ya temperature iwake na hapo analalamika hivyo analalamika huku akifananisha hali ya gari yake na ya mwenzake anaeweka coolant.

Maana yeye akiweka aidha ataweka coolant ya bei nafuu zile feki au maji sasa akisikia mwenzake aliyeweka coolant sahihi anabakia kutoa macho kuwa gari yake ni mbovu anaipeleka kwa fundi Shabani ambaye mwisho wa siku kuondoa kelele anamwambia toa thermostat ili engine iwe cool muda wote na hatoiona kumuwashia taa ya overheating wala maji kuisha kwa wakati.....

So thermostat ikitolewa gari ikiwashwa tu maji /coolant yanaanza kuflow to and from the Radiator nonstop bila kustop.

Hii effects yake ni mbaya kwenye engine sababu kama asubuhi gari huhitaji kwanza kupasha engine kufikia kiwango fulani cha joto ili kulainisha oil iliyoganda na vyuma vilainike vema na oil isambae vizuri kwenye engine.

So, ikatokea thermostat imetolewa engine haitaweza kupashika kwa wakati na hivyo baadhi ya sehemu za engine ukiwa unachapa mwendo zitakuwa zinasuguana bila oil kufika vizuri na hatimae vinasagika au kulika na kuanza kuiharibu engine taratibu.

I hope nimekujibu swali lako.....
 
Kama unataka engine Oil ya Nissan Extail ambayo haitasumbubua, tafuta Castrol GTX 20W-50. Bei yake ni around 50,000/- kwa litre 5(Unatembea 3000 km before the next service) Kwa Gear box angalia kwenye oil stick imeandikwa matic, ila unaweza kununua nyingine inaitwa Atlantic (ipo kwenye kidebe cha bati) bei yake ni kuanzia shs 75,000-80,000 kwa litre 4 (unatembea 9000 km before the next service).
Mkuu 20w50 kwa Nissan Xtrail..?
Seriously..?

Nissan Xtrail kama injini haijachoshwa recommend SAE VISCOSITY ni 5w30 au 10w 30..

Kama limeshajichokea na injini ina mileage kubwa sana ,hapo atumie 5w40 au abane uchumi kabisa aangukie SAE40.
 
Mkuu 20w50 kwa Nissan Xtrail..?
Seriously..?

Nissan Xtrail kama injini haijachoshwa recommend SAE VISCOSITY ni 5w30 au 10w 30..

Kama limeshajichokea na injini ina mileage kubwa sana ,hapo atumie 5w40 au abane uchumi kabisa aangukie SAE40.
Fundi anashauri 15w-40
 
SUV nafuu na makini barabarani. Nimeagiza sbt Japan inaingia Dar 31st March tuombeane uzima
 
NIJUACHO uzuri au ubaya wa gari inategemea na yafuatayo
1. Nani umeniuliza kabla hujalinunua gari lolote?
2. Kinachosababisha unique gari ni kitu gani?
3. Umepishana na magari wangapi mabocu ni mengi ni ya brand gani
4. Rolumodo wako wana magari ya aina gani... hutacheza mbali na hapo
5. Wazazi walishawahi Maliki magari!? kwa shughuri again!?
 
Ni mabovu kabisa na spea zake ni ghali sana! Nimekujibu bila kusoma comments za wengine wamesemaje!
 
Back
Top Bottom