Nimependa na nimeukubali ushauri wako kwan ni muhimu sana hakika there is something to learn here!y
pikipiki yoyote inafaa na ni imara ENDAPO TU utazingatia yafuatayo:
-nunua toleo halisi /original
-ijue tabia yake (soma user manual)
-jali vilainishi na mafuta: epuka petrol za mtaani, imrchanganywa, ina uchafu, imepigwa jua na kubadilika rangi iko km dizeli, tembeakoki ya mafuta iwe kwenye full sio reserve...
Boxer, TVS na MahindraKumekuwa na makampuni mbalimbali yanayofanya biashara ya kuuza pikipiki. Baada ya kutumia pikipiki aina ya T better kwa muda mrefu nimeona ni bora sasa ninunue Boxer.
Naomba nijue faida na changamoto ya hizi pikipiki. Na kama kuna anayeuza njoo inbox tuyajenge.
Mkuu maeneo gani hapa bongo taipata hiyo Honda cg 125? Na ni bei gani mpya?Ni wazi kua pikipiki imara ni za mjapan.
Sasa basi kwa bajeti yako nakushauri usifanye makosa tafuta pikipiki ya mjapan na unaweza kuongezea pesa kidogo ila usiogope maana unanunua mkataba haswa.
Tafuta pikipiki hizi,kwa matumizi yako binafsi na vimizigo vya hapa na pale
Kusema ukweli sidhani kama utaikuta duka lolote ikiuzwa hii.adimu mno labda uagize nje mwenyewe au ukubaliane na dealers wa honda pale kkoo wakuagizie mkipatana.Mkuu maeneo gani hapa bongo taipata hiyo Honda cg 125? Na ni bei gani mpya?
Tafuta pikipiki hizi,kwa matumizi yako binafsi na vimizigo vya hapa na pale:
1.Honda CGL 125
2.Honda CG 125
3.Honda Ace cb 125(ila hizi nadhani ni za south africa kama sikosei)
Machaguo ya kwanza ndo mjapan mwenyewe na zote zina starte
Naunga mkono hoja...mzee ana hiyo CGL tangu takribani 2006 mpaka sasa iko vizuri kabisa. Imechakaa sura ila injini iko sawa.Tafuta pikipiki hizi,kwa matumizi yako binafsi na vimizigo vya hapa na pale:
1.Honda CGL 125
2.Honda CG 125
3.Honda Ace cb 125(ila hizi nadhani ni za south africa kama sikosei)
Machaguo ya kwanza ndo mjapan mwenyewe na zote zina starter.
Nina Honda CG 125 huu mwaka wa 8 sasa kitu piru bado,nna jamaa yangu alinunua mapikipiki yenu ya kihindi na mchina kwa miaka mi5 ila ukiziweka pamoja yangu bado inaonekana mpya na tunapiga na kufanya mizunguko inayofanana kwakua mishe tunafanya pamoja.
Narudia tena na tena jikaze kwenye bei pikipiki ni za mjapani tu!
Kumbe bongo wanazileta piaMkuu maeneo gani hapa bongo taipata hiyo Honda cg 125? Na ni bei gani mpya?
Hahah.. Emb pitia Post hapo juu.. Jamaa kasema anataka pikipiki kwa matuimizi yake binafsi Habebi mizigo...
Mkuu upo nkuulize kitu?kuna pikipiki za mchina zinitwa haojue 125-8 hizi pikipiki ni nzuri sana kwa kustahilimil hayo mazingira na unatumia mafuta kidogo sana yangui ina mwaka na nusu saiv ila bado wembe
na nimetumia baadhi ya pikipiki ila hii nimeikubali zaidi sio tvs wala boxer
na bei yake ni 2.3
uliza mkuuMkuu upo nkuulize kitu?
Mkuu hii kitu Haoje naomba unipe ubora wake na mapungufu yake ukilinganisha na TVS/SANLG na bei yake.uliza mkuu
Ni bei gani iyo chuma (mpya) ni company ganiChuma iko futa kidogo mwendo mkubwa roho ya paka na chenji inabaki[emoji1436][emoji1436][emoji1436]View attachment 1264399
mapungufu yake bado sijayaona upande wa pikipiki za kichina mkuuMkuu hii kitu Haoje naomba unipe ubora wake na mapungufu yake ukilinganisha na TVS/SANLG na bei yake.
Nataka nivute kitu soon.
matunzo kila kitu nipo na boxer tang 2015 watu wanasema nimebadilisha namba maana inawaka kama nmba C na ni ATT sipakii mzigo wowote na simpi mtu yyte kuendesha ni bora nimpeleke mm mwenyewe .service ya uhakikaNunua pikpiki yeyote ya kawaida ambayo vifaa vyake vinapatikana kwa urahisi.Chombo chochote ni matunzo tu na service kwa wakati kinadumu.