Mkuu Umetaja Piki piki Nyingi tuu kama Boxer,Fekon,Sanlg,TVS,nk
Ila Mwisho wa yote Kuna Pikipiki moja inaitwa HOAUJUE...au Kiswahili wanasena "Haujue"....hi Pikipiki ni Nomaaa Asikwambie Mtuu,Uliza waendesha Pikipiki watakuambia...
Ni Imara,inapiga Mzigo na Nzito.
Ikitulia Barabarani Hakuna na Boxer, TVS,au wala sijui nini atafuata hii,
Niliwahi Siku moja Kupakia Mzigo wangu,gunia 2 za Nazi kwenye "Hoaujue" nami nikapanda Boxer,Tumeanza tuu Boxer akatupita akaenda mbali,baada ya kama Dk 7 hivi,lilitupita kama tunesimama,Nikamwambia Dereva wa Boxer Aisee vipi ongeza mwendo Mkuu,akaniambia hiyo ni "Hoaujoue" taamka "Haujue" ni balaa siwezi fuata pale linapokuwa limechanganya!
Na ni BORA usipime! Yaani Imara!
Inavumilia kila hali!