Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asnt mkuuMi niliuliza hivi hivi nilipewa majibu ya boxer na tvs... Nilipotembelea kampuni moja ya ulinzi wale walinzi walinishauri ninunue hero sababu ndio walizokuwa wanatumia na ni imara zaid... Nilifata ushauri wao na toka niinunue hero sijapata tatizo lolote na inatumika kama bodaboda
Nenda wanapouza pikipiki esp kariakoo... Waulize wale wauzaj kimya kimya watakupa abc... Kuna pikipiki toleo la kwnza ndio zilikuwa bora ukijichanganya utajutaAsnt mkuu
Huwezi kupambanisha pikipiki za kichina na za India ni vitu viwili tofautiTwende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.
Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
1.9mWew umechukua kwa shs ngapi
Ujanpa ulaiji wake wa mafuta 1lita km...ngap?Mi niliuliza hivi hivi nilipewa majibu ya boxer na tvs... Nilipotembelea kampuni moja ya ulinzi wale walinzi walinishauri ninunue hero sababu ndio walizokuwa wanatumia na ni imara zaid... Nilifata ushauri wao na toka niinunue hero sijapata tatizo lolote na inatumika kama bodaboda
pikipiki mkuu..?? Imekuwaje
Kwa upande wa Yamaha crux ni pikipiki nzuri sana.
Tatizo hizo zikiharibika hupati vipuri ng'oo!!Ducati
Kawasaki
Tvs miaka mitano warrant hizo nyingine miaka miwili hoiKwann unaikubali
Usiikubal kimapokea kwamba inauza sana bado ...?