MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

bidhaa yoyote ya mchina ikiingia sokoni ichangamkie hapohapo ukisubili Matoleo ya baadae ni uchakachuaji kwenda mbele nadhani inasababishwa na demand kushinda supply
 
Yani pikipiki mlizozitaja zote zinatengenezwa na wanafunzi wa primary wa china na india kwa ajili ya soko la africa so zote takatak
 
bidhaa yoyote ya mchina ikiingia sokoni ichangamkie hapohapo ukisubili Matokeo ya baadae ni uchakachuaji kwenda mbele nadhani inasababishwa na demand kushinda supply
Sasa tufanyaje na vipato vyetu
 
harley davidson
1538318179262.png
 
Kwahyo unamaansha sykmark hizo piki piki haziko sawa ?
(Hazina ubora)
Kwenye injini iko njema sana ila tank zao huwa zinatoboka inawezekana bati wanalotumia kutengeneza sio imara.
 
Back
Top Bottom