MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.

Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
Kati ya hizo zote, hakuna pikipiki yenye ubora hapo
 
Nashukuru kwa uchanguzi ulio balance pande zote
 
Wacha maneno pikipiki kwa matumizi binafsi ni mnyama Honda ace tu na jamii zake nyingine na hakuna ubishi katika hilo.
 
Naam!? Mkuu nilijibu nikiwa na haraka kidogo lakini Honda ace ni pikipiki ngumu kiujumla kuanzia kwenye injini mpaka nje lakini kama wewe ni mbeba mizigo mizito sana kwenye pikipiki hii haikufai ila nimezitumia sana ninazijua vzr ndio maana hata leo dukani bei zake ni juu kidogo mm nilichukua used kwa mtu ambaye ameitumia toka 1998 lakini ukiiona huwezi kuamini kama ni ya mwaka huo
 
Mimi mizgo n kg 20 kurud itafaa?

Sent from my itel S12 using JamiiForums mobile app
 
Haojue ndo habari ya mjini, nimeikubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…