Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Changia unapoweza, wema usizidi uwezo.
mijitu haielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changia unapoweza, wema usizidi uwezo.
Hawa waoaji na wanaoolewa hata ukiwaambia huna hela wanaendelea kukusumbua.
Urafiki unageuka kuwa uadui, kipato changu chenyewe ni kidogo hakinitoshelezi, halafu jitu linatoka huko linaniambia nilichangie, as if na mimi ntakuwa nanufaika usiku na huyo mkewe.
Nimechoka na maombi yenu ya michango ya fedha kwa ajili ya harusi.
mkuu kama ulioa kwa kuchangisha michango na we changa.Natumaini anayekupa kadi ya mchango anakufahamu na we wamfahamu .so changa.
Kinachokuliza nini,au ujaoa.Lakini unapenda kwenda kwenye harusi ukale ambavyo ujachangia,Mkuu ndo matumizi.KAZI OMBA ALLOWANCE YA ENTERTEMENT Hini upate ya kuchangia watu.Shika msimamo wako, yaliyopita si ndwele
Hawa waoaji na wanaoolewa hata ukiwaambia huna hela wanaendelea kukusumbua.
Urafiki unageuka kuwa uadui, kipato changu chenyewe ni kidogo hakinitoshelezi, halafu jitu linatoka huko linaniambia nilichangie, as if na mimi ntakuwa nanufaika usiku na huyo mkewe.
Nimechoka na maombi yenu ya michango ya fedha kwa ajili ya harusi.
Utamaduni huu sijui umetokea wapi?
Hawa waoaji na wanaoolewa hata ukiwaambia huna hela wanaendelea kukusumbua.
Urafiki unageuka kuwa uadui, kipato changu chenyewe ni kidogo hakinitoshelezi, halafu jitu linatoka huko linaniambia nilichangie, as if na mimi ntakuwa nanufaika usiku na huyo mkewe.
Nimechoka na maombi yenu ya michango ya fedha kwa ajili ya harusi.
Badili namba ya simu.mijitu haielewi
Hawa waoaji na wanaoolewa hata ukiwaambia huna hela wanaendelea kukusumbua.
Urafiki unageuka kuwa uadui, kipato changu chenyewe ni kidogo hakinitoshelezi, halafu jitu linatoka huko linaniambia nilichangie, as if na mimi ntakuwa nanufaika usiku na huyo mkewe.
Nimechoka na maombi yenu ya michango ya fedha kwa ajili ya harusi.