PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
poleni sana mnaosumbuliwa na hilo tatizo, hiyo michango unatakiwa kuweka utaratibu tangu mwanzo kama ni wa kutoa au sio wa kutoa, ukijenga tabia ya kutokutoa na watu wakalijua hilo hakuna atakaekusumbua, ila ukijifanya wewe ni baba huruma au unazo wakati umepigika na mambo hayaendi utaumia....fanya maamuzi yako binafsi kwa manufaa ya maisha yako na wala usifanye mambo kwa ajili tu ya kumridhisha mtu mwingine.