Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,460
- 4,761
umenikumbusha ,wakati nataka kuolewa niliwaambia ndugu zangu sitaki send off wala kitchen party! wakasema huwezi kwenda hivyo nawajua sana ndugu zangu ni watu wa lawama na wakikufanyia kitu utakuwa mtumwa wao!wakajichanga wakaandaa kisherehe nikasema sawa mimi nikajishonea kanguo changu na mpambe wanagu! ndoa yangu iliandaliwa ndani ya mwezi mmja tu!na ilikuwa maksudi ili kukwepa usumbufu na watu mume wangu ni mchangiaji mzuri sana watu wakamwamba kaka umetuchangia sana hatuwezi kukuacha haya ,ikaisha harusi sasa eti kila ndugu wanakuja niomba michango na mmja akanitamkia si na wewe tulikuchangia ,nikamuuliza nilikuomba au kukulazimisha it was ua good will sasa hivi nina watoto wa shule wakulipia ni june hii siwezi kukupa mchango mtoto wangu asiende shule !mpaka leo hakuna salamu.ila nimeshajitoa kwenye kuchangia mtu tu kisa anakujua ndio akupe mikadi!sitak mazoea