mountain
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 757
- 311
Tatizo mtu anakupigia simu halafu anakuuliza hivi siku hizi unafanya kazi wapi??
Ukimtajia tu anakukadiria na kiwango cha mshahara unachopata halafu anakukandamizia na mchango hapo hapo.......
Hii kitu inanikera sana wanashindwa kufahamu ubongo wa mtu unawaza nn katika mipangilio ya kimaisha. Michango ya harusi No.