Tatizo mtu anakupigia simu halafu anakuuliza hivi siku hizi unafanya kazi wapi??
Ukimtajia tu anakukadiria na kiwango cha mshahara unachopata halafu anakukandamizia na mchango hapo hapo.......
Jamani hivi kuchangia harusi sasa imekuwa lazima?
Nahisi sasa harusi zinatuletea umasikini, yani mtanzania wa kawaida nina kadi tisa mpaka sasa.
Bado natafutwa na jamaa yangu mwingine, yani simu imejaa meseji za watu wanakumbushia michango.
Jamani hatuwezi kuwa na utaratibu mbadala kwenye hili swala? Tupungiziane stress!
Halafu na hii tabia ya mtu anakutumia tu ujumbe uje siku fulani mahala fulani kuna kikao cha harusi, kumbe kesha kuweka kwenye kamati ya harusi we bila kujua afu ukifika wanaweka kiwango cha kila mwanakamati kutoa.
Nadhani tuhitaji mbadala wa hili.
Jamani hivi kuchangia harusi sasa imekuwa lazima?
Nahisi sasa harusi zinatuletea umasikini, yani mtanzania wa kawaida nina kadi tisa mpaka sasa.
Bado natafutwa na jamaa yangu mwingine, yani simu imejaa meseji za watu wanakumbushia michango.
Jamani hatuwezi kuwa na utaratibu mbadala kwenye hili swala? Tupungiziane stress!
Halafu na hii tabia ya mtu anakutumia tu ujumbe uje siku fulani mahala fulani kuna kikao cha harusi, kumbe kesha kuweka kwenye kamati ya harusi we bila kujua afu ukifika wanaweka kiwango cha kila mwanakamati kutoa.
Nadhani tuhitaji mbadala wa hili.
Jamani hivi kuchangia harusi sasa imekuwa lazima?
Nahisi sasa harusi zinatuletea umasikini, yani mtanzania wa kawaida nina kadi tisa mpaka sasa.
Bado natafutwa na jamaa yangu mwingine, yani simu imejaa meseji za watu wanakumbushia michango.
Jamani hatuwezi kuwa na utaratibu mbadala kwenye hili swala? Tupungiziane stress!
Halafu na hii tabia ya mtu anakutumia tu ujumbe uje siku fulani mahala fulani kuna kikao cha harusi, kumbe kesha kuweka kwenye kamati ya harusi we bila kujua afu ukifika wanaweka kiwango cha kila mwanakamati kutoa.
Nadhani tuhitaji mbadala wa hili.
Nachangia watu wa karibu sana hasa Ndugu rafiki nikufikirie sana tena baada ya kukukwepa sana Mwaka huu nimepokea kadi 10 woi walioambulia ni ndugu wawili .... kuna jamaa kwa office yeye kwenye droo yake kuna change change ukipeleka kadi unaambulia buku mbili tu ukishangaa unafukuzwa...