Nilishakataa michango ya harusi nami ikifika zamu sitaki mchango wako, nitachangia majanga ya elimu, magonjwa na njaa.
Pili bila shaka wewe ni muslim,mana nyie ndoa hata ukiwaambia watu kuanzia asubuhi kwamba unaoa saa mbili usiku nyie ni poa,ila kristos ndoa zao ni process,then naomba umuulize baba yako,alivyofunga ndoa alichangisha au? Labda ndoa iwe ya mkeka
Kuna watu wa ajabu sana,unapanga kuoa huku huna hela unataka watu wengine wakuchangie,huu ni ujinga mkubwa. Raha zako ziwape wengine shida.
Unakuta mtu anataka kuoa,bajeti milioni 10,yeye ana milioni 1 na nusu,hizo zinginge anataka watu wamchangie,,ukipanga kuchangiwa harusi jiandae pia kuchangia mke.
Acheni kusumbua watu na harusi zenu..
We nawe kilaza umekurupuka..michango ipo miaka mingi sana na sijawahi kusikia mtu analalamika kuwa kachapiwa mkewe kisa kuchangiwa harusi...utakuwa wa kwanza wewe na ntamvizia mkeo njoo unchangishe kama unaona unaloongea ni sawa..changa harusi za wenzako acha ujinga.Duuuuuuuuu!!!! sio uongo, nikweli,sasa wanavyo sumbua michango je? Kitandani twapanda wote?
Mleta uzi, inaonekana wewe umeshaoa siku nyingi bila kufuata utaratibu rasmi, sasa ynaona wanaotaka kuoa kwa utaratibu rasmi wanakusumbua.
Anyway, kuwachangia sio lazima, ukipewa kadi usipeleke mchango, ukialikwa kwenye kikao usiende. Lkn kumbuka kuna siku utahitaji watu wakuchangie michango.
Vv
Kwani lazima uchangie?we kama hutaki kuchangia usichange nakushangaa unaleta mada ya kijinga kama hii
Pili bila shaka wewe ni muslim,mana nyie ndoa hata ukiwaambia watu kuanzia asubuhi kwamba unaoa saa mbili usiku nyie ni poa,ila kristos ndoa zao ni process,then naomba umuulize baba yako,alivyofunga ndoa alichangisha au? Labda ndoa iwe ya mkeka