kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 686
Nilishakataa michango ya harusi nami ikifika zamu sitaki mchango wako, nitachangia majanga ya elimu, magonjwa na njaa.
Hata mimi huo ujinga sifanyi,sitoi michango ya harusi na wala sitaomba ya mtu. Ukiendekeza huu ujinga wa kuchangia harusi mwisho wa mwaka utajikuta umetumia pesa nyingi sana. Kuoa ni kwa faida yako haina maana kusumbua wengine.