Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Malogi76 wewe harusi yako ulichangiwa?

Okay,nimekifunza kitu,ukishapita hiyo hatua huoni sababu ya kuchanga kwakuwa unaye mwenza!

Basi waache vijana wachangishane
 
Malogi76 wewe harusi yako ulichangiwa?

Okay,nimekifunza kitu,ukishapita hiyo hatua huoni sababu ya kuchanga kwakuwa unaye mwenza!

Basi waache vijana wachangishane
Jaji hujanielewa sijui...mimi niliomba kwa wazazi sitaki harusi kubwa na waliokuja wanawajuwa wao hao watu ambao sijawahi waona ...mimi kuchanga ni ndugu tena wa karibu.kama sikujui...sijawahi kukusikia hamna sababu ya mimi kuchanga sababu sitokuja.hii ni kwa upande wangu mimi
 

Asante tena na tena. Kama ulivyosema wema wa kweli usio wa kinafiki na usiotegemea malipo kamwe haupotei bure na mibaraka yake yaweza kuonekana leo au baada ya vizazi vitatu vijavyo. Unapotenda wema unapanda mbegu ambayo baadaye huko mbele ya safari itakuja kuzaa matunda mema. Yawezekana hata isiwe kwako lakini matunda yake siku moja binadamu mwingine atavuna. Mpaka leo huwa najiuliza yule mzee asingejitokeza pale Bugando sijui leo ningekuwa mtu wa aina gani.

Na watu wengi hudhani kuwa pengine kutenda mema ni lazima kutoa pesa na mizawadi mikubwa mikubwa. Kumbe hata matendo madogo madogo tu yanatosha sana kuamsha wema uliomo mioyoni mwa binadamu wenzetu na hata kuwafanya wajione wana thamani hapa duniani.

Leo nimejifunza mambo mengi mapya ya kuniimarisha zaidi katika ubinadamu wangu. Na pengine nikuhongereshe pia kwa kupata mwenza mwenye mitazamo inayofanana. Kizazi hiki kipya kimeshadadia mambo artificial na shallow sana kuhusu maisha yaani wakati mwingine mtu mpaka unaogopa. Ni kazi ngumu mno kusaka mwenza wa kudumu kwa vijana wa kisasa mpaka mtu waweza kukata tamaa.

Namshukuru aliyenifanya niingie katika thread hii na kukutana na mtu muhimu kama wewe. Hebu Mungu na Akaendelee kututumia kama vyombo (japo dhaifu tu) ambavyo kupitia kwavyo wema wake unajidhihirisha kwa waja wake hasa hawa masikini kabisa wasio na matumaini. Ubarikiwe sana wewe pamoja na wapendwa wako. Amen!
 
Kuchangia harusi hulaziishwi. Kuna watu wanapenda kuchangia harusi na usipowachangisha hawaji kwenye harusi yako. Hapo vipi?
 
Kuchangia harusi hulaziishwi. Kuna watu wanapenda kuchangia harusi na usipowachangisha hawaji kwenye harusi yako. Hapo vipi?
Kwani ili uwe umefunga harusi lazima wao wawepo??? What if wamechangia halafu siku moja kabla ya harusi akafa je harusi yako haitafungwa kwasababu yy hayupo? Ishi unavoona inafaa, usiishi vile watu wanaona inafaa.
 
Sahihi kabisa ni bora ufanye harusi uliyo na uwezo nayo,kuliko kutegemea michango
 
TAREHE 29 KESHO KUTWA KUNA HARUSI MBILI ZA JAMAA NAWAFAHAMU YANI SHOOL MATE WA O LEVEL NA CHUO....TATIZO BUDGET YANGU TU ISHANSHINDA ANI NAISHIWA HATA MWEZI HAUJAISHA...NIMEAMUA KU MUTE TU SINA CHA KUTOA MAANA NINA MIZIGO MINGI AMBAYO MATUMUIZI YAKE YAPO TAYARI, NAHITAJI KULA VIZURI ILI NIZALISHE PIA YANI NI SHIDA......SIO LAZIMA KUCHANGIA PIA MUOAJI AJIPANGE....MI NTAJITAHIDI NISISUMBUE WATUIU SANA...JAPO NATOAGA CHOCHTE KI;LICHOPO 10,000 AU 20,000 ILIMRADI KUCHANGIA
 
Duuh!Mimi sichangii ataa cent moja na kadi zikiletwa nampa mwanangu andikie madudu yakee.nachangia misiba tuh.sijawai kuomba mchango wa mtuuh.
 
Kwani ili uwe umefunga harusi lazima wao wawepo??? What if wamechangia halafu siku moja kabla ya harusi akafa je harusi yako haitafungwa kwasababu yy hayupo? Ishi unavoona inafaa, usiishi vile watu wanaona inafaa.
Hatuishi ndani ya box tunaishi na jamii. Mchango kama watu wanajitolea kuna ubaya gani? Wapo watu wakiambiwa wachange wanakataa hamna kosa ni ombi, kuna wengine wanapenda kuchangia tu utakataa uwaambie sitaki michango yenu?
 
umaskini mbaya sana maisha mtu magumu.. hana kipato cha uhakika anasingizia harusi...

acha wenye uwezo wachangie wewe kama huna uchune...
 
bado hizo mambo zinawaendesha?? can't you have your own stand econimically! changia issue za muhimu na sio misherehe ya watu siju alipokuwa jirani wa binadam wa mdogo wa rafiki wa mpangaji mwenzako ukiwa chuo ambaye ni mke mdogo wa mkewe wakufijia[emoji3] [emoji3]
 
Thank you.....@Madam Mwajuma umefunguka
 
Thank you.....@Madam Mwajuma umefunguka

eeehhh watu wanalazimishaga utafikir wanajua unazalisha kiqsi gani changia kwa hesabu nawe ukifanya yako fanya inayoendana na uwezo wako nikujikomoa tu unaishi nyumba yakupanga unafanya sherehe ya mil 20? foolish baadae eti Magufuli kabana umeshindwa kujenga[emoji15]
 
Haaaaaa mbavu zangu mimi [emoji106]
 

Hahaha hiyo nayo Kali
Ngoja mi nijipange nigharamie mwenyewe maana inaleta shida kweli hii
 
Ningekuwa m/kiti wa kamati hlf michango ikafikia mil 20 nawashauri tu wanakamati tuandae shughuli ya mil 2 hlf fedha iliyobaki mil 18 tunamnunulia bwana harusi kiwanja cha mil 5 na material ya ujenzi akaanze maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…