This man does not have quality or qualification to be that, he is actually a manager on care home that look after mental patient, that how it is in UK, Mostly responsible for the building that housed the patient in terms of food stock and welfare of mental patient NOT Academically know nothing of even what are the symptons of Catatonic schizophreniaUnafahamu kuna Dr of nursing?
Ongezea nyama: hifadhi ataipata kwenye awamu ya Magu tu!TZ ni nyumbani, na kwa sasa hakuna mtu ambaye anayeweza kumpa hifadhi km kitanuka zaidi ya TZ. So lazima apakumbuke nyumbani muda wote kwa kuwa ndio kimbilio & tumaini pekee
Ayatollah wa rwanda
Mimi nimesoma mpaka ukurasa wa 90 na nimeanza mchana huu...Nimeishia mpaka pale jamaa anavyotengeneza migogoro mwenyewe halafu anaitatua mwenyewe....Jana nilitamani nikimalize kukisoma hadi macho yakavimba. Niliona namna alivyokuwa anawat..o.mb.ea rafiki zake huku akiwa na wakinzi wake bila huruma!! Mkuu ili watu waenjoy na kumfahamu huyu rafiki wa JPM naomba utafasiri kwa kiswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mtusi umetumwa!!!!!!!Hiki kitabu asilimia 90 ni uzushi tu. Kuna baadhi ya incidence zimetajwa tofauti kabisaa na ukweli uliotokea na ambao unajulikana 100%. Kwa ufupi huyu mwandisha alichokifanya ni ku kaa na timu ya wapinzani na wabaya wa Kagame walioko nje na kuunda unda huu mtiririko huku akiunganisha baadhi ya vitu vilivyotokea na kuvitwist iri mradi viendane na lengo la kumuharibu mbaya wao (PK). Inawezekanaje mtu kama Marara ambaye alikuwa Driver aweze kushuhudia incidents zote hizo? This is impossible. Mfano mwingine anaposema PK aliondoka na Convoy kumfuata Daktari wake kisha akafikia kumpiga makofi n’amateke housegirl. Can you imagine? Halafu eti akalazimisha huyo house girl afukuzwe kazi, kichekesho kabisa. Hivi kama alikuwa anamuhitaji huyo Dr, kwanini hakutuma hiyo convoy iende kumleta bila ya yeye kuambatana nayo? Kwa ufupi hivi sasa wapinzani wa Kagame baada ya kushindwa Kijeshi na Kisiasa wanaendesha vita dhidi yake kwa njia hii ya kumchafua kupita kiasi na kuna watu wanalipa pesa nzuri tu ili vitu kama hivi vichapishwe hawahitaji viwe na ukweli ili mradi tu visomwe na watu wengi iwezekanavyo. Ndio maana utapata story za mtu kama Himbara, Marara na wengine wengi tu. Lakini baadhi ya nondo wanazozitumia kama matukio mengi yaliyomo humu kwenye hiki kitabu yanakosa kabisa Logic, kama nilivyosema ni mtiririko wa kuunga unga na kutwist hapa na pale iri mradi vyote viwekwe juu ya kichwa cha PK, ukiingia kwe different Media news na Blog tofauti tofauti za upinzani huko nje utapata hizi incidence zote anazozizungumzia huyu mwandishi. Alicho kifanya yeye na timu yake ni kukaa chini na kuunganisha kisha kujifanya eye witness wa kila kitu. Utaona kuwa anajaribu kuleta mgawanyiko ndani ya wanajeshi kwa kuweka taarifa hizi alizozitengeneza juu ya vifo mbalimbali vya makamanda wao. Kuna mahari ana wapa pole baadhi ya watu akidai kuwa wameonewa au wamekosewa haki na ambao kwa kweli baadhi yao ni maaskari tena kwenye vitengo muhimu nia ikiwa kuwamanipulate ndani ya vichwa vyao, lengo ni kutaka kuanzisha vuguvugu la kumchukia Rais Kagame from within kwani njia nyingine walizojaribu zimeshindwa mpaka sasa. Hii mbinu ndio hiyo hiyo inatumiwa kumgonganisha Rais Kagame na Majirani zake. Kwa kutumia Uwezo mkubwa kifedha walio nao baadi ya hawa wapinzani(Rujugiro,Rusesabagina,Kayumba,Karegeya-RIP, nk) waliweza hata ku manipulate watendaji na baadhi ya maofisa wakubwa kwenye nchi jirani kwenye haya malengo yao. Kwa mfano pesa za Rujugiro ndio zinafanya kazi kwa maofisa wa usalama huko Uganda, kuna mengi naweza watajia hapa ila naona post ishakuwa too much, Mimi niandikaye nipo hapa Rwanda na hii ni nchi yangu nafanyakazi kwenye mashirika ya kimataifa na nina bahati ya kuweza kupata na kufanya uchambuzi wa habari zote za Rwanda. Nakushauri msomaji ufanye uchambuzi wako huru tu, kwani mwandishi amejaribu kumuonyesha Kagame kama mtu mbumbumbu, mwenye hulka, asiye na jema au zuri hata moja lakini sindani kama ndiye tunayemfahamu au hata tunaemsikia kwenye medani za kitaifa na kimataifa.
Mimi nimesoma mpaka ukurasa wa 90 na nimeanza mchana huu...Nimeishia mpaka pale jamaa anavyotengeneza migogoro mwenyewe halafu anaitatua mwenyewe....
Haki rwanda kuna bomu kubwa sana jamaa ameuwa sana huyu anafaa kuwa shetani tu
Huyo museven ni suala la muda tu mark my wordIngia kwenye facebook akaunti ya Kagame uone watu wanavyokomenti kwa uoga. Anyway nilikuwa naangalia leo Kampala namna Bobi Wine alivyozuiliwa kwenye kwenye onyesho lake la muziki na wanajeshi wa Mseveni. Yanayotokea Rwanda na Uganda yana kila muonekano sawa na Tanzania njia pekee ya kujikomboa kwa sasa sio kutegemea tume za chaguzi
Kabisa mkuu yeye kwa sasa anatumia jeshi ambalo liko mikononi mwa mtoto wake jaribu kuingia YouTube uone kilichotokea leo kuhusu Bobi Wine ambaye ametangaza kuchuana nae uraisiHuyo museven ni suala la muda tu mark my word
kwahiyo asilimia 10%ndo kweli?Hiki kitabu asilimia 90 ni uzushi tu. Kuna baadhi ya incidence zimetajwa tofauti kabisaa na ukweli uliotokea na ambao unajulikana 100%. Kwa ufupi huyu mwandisha alichokifanya ni ku kaa na timu ya wapinzani na wabaya wa Kagame walioko nje na kuunda unda huu mtiririko huku akiunganisha baadhi ya vitu vilivyotokea na kuvitwist iri mradi viendane na lengo la kumuharibu mbaya wao (PK). Inawezekanaje mtu kama Marara ambaye alikuwa Driver aweze kushuhudia incidents zote hizo? This is impossible. Mfano mwingine anaposema PK aliondoka na Convoy kumfuata Daktari wake kisha akafikia kumpiga makofi n’amateke housegirl. Can you imagine? Halafu eti akalazimisha huyo house girl afukuzwe kazi, kichekesho kabisa. Hivi kama alikuwa anamuhitaji huyo Dr, kwanini hakutuma hiyo convoy iende kumleta bila ya yeye kuambatana nayo? Kwa ufupi hivi sasa wapinzani wa Kagame baada ya kushindwa Kijeshi na Kisiasa wanaendesha vita dhidi yake kwa njia hii ya kumchafua kupita kiasi na kuna watu wanalipa pesa nzuri tu ili vitu kama hivi vichapishwe hawahitaji viwe na ukweli ili mradi tu visomwe na watu wengi iwezekanavyo. Ndio maana utapata story za mtu kama Himbara, Marara na wengine wengi tu. Lakini baadhi ya nondo wanazozitumia kama matukio mengi yaliyomo humu kwenye hiki kitabu yanakosa kabisa Logic, kama nilivyosema ni mtiririko wa kuunga unga na kutwist hapa na pale iri mradi vyote viwekwe juu ya kichwa cha PK, ukiingia kwe different Media news na Blog tofauti tofauti za upinzani huko nje utapata hizi incidence zote anazozizungumzia huyu mwandishi. Alicho kifanya yeye na timu yake ni kukaa chini na kuunganisha kisha kujifanya eye witness wa kila kitu. Utaona kuwa anajaribu kuleta mgawanyiko ndani ya wanajeshi kwa kuweka taarifa hizi alizozitengeneza juu ya vifo mbalimbali vya makamanda wao. Kuna mahari ana wapa pole baadhi ya watu akidai kuwa wameonewa au wamekosewa haki na ambao kwa kweli baadhi yao ni maaskari tena kwenye vitengo muhimu nia ikiwa kuwamanipulate ndani ya vichwa vyao, lengo ni kutaka kuanzisha vuguvugu la kumchukia Rais Kagame from within kwani njia nyingine walizojaribu zimeshindwa mpaka sasa. Hii mbinu ndio hiyo hiyo inatumiwa kumgonganisha Rais Kagame na Majirani zake. Kwa kutumia Uwezo mkubwa kifedha walio nao baadi ya hawa wapinzani(Rujugiro,Rusesabagina,Kayumba,Karegeya-RIP, nk) waliweza hata ku manipulate watendaji na baadhi ya maofisa wakubwa kwenye nchi jirani kwenye haya malengo yao. Kwa mfano pesa za Rujugiro ndio zinafanya kazi kwa maofisa wa usalama huko Uganda, kuna mengi naweza watajia hapa ila naona post ishakuwa too much, Mimi niandikaye nipo hapa Rwanda na hii ni nchi yangu nafanyakazi kwenye mashirika ya kimataifa na nina bahati ya kuweza kupata na kufanya uchambuzi wa habari zote za Rwanda. Nakushauri msomaji ufanye uchambuzi wako huru tu, kwani mwandishi amejaribu kumuonyesha Kagame kama mtu mbumbumbu, mwenye hulka, asiye na jema au zuri hata moja lakini sindani kama ndiye tunayemfahamu au hata tunaemsikia kwenye medani za kitaifa na kimataifa.
Jamaa ni katili sana ,nakumbuka kwny kitabu,kagame alikuwa anaendesha gari bahati mbaya akatapika ,sasa marara alikuwa nae ikabidi kagame asimamishe gari,akajifanya anaenda short call,huku marara anasafisha seat ,ile kurudi kagame akakuta jamaa anamalizia kupolish seat,kagame alimpiga kiwiko cha jicho full kuvimba kisa anamchelewesha,yaan jamaa hana shukrani ,nahisi huyu jamaa ana mental disorder syo kwa kuua huko
Huyu Mtu sio wa kawaida, huenda ni agent wa shetani. Ajabu anasifika kwa utawala bora na maendeleo.
Mkuu mm ni msoma vitabu mbalimbali. Naomba unitumie vitabu vyovyote pm.
Ukimwaga damu za watu yako pia lzm imwagwe,huyo mwandishi sababu alishiriki kuzimwaga why aogope yake kumwagwa.Jana kwangu ilikuwa siku nyingine ya kufurahia kuwa sehemu ya member wa jamii forum. Hii ilitokana mwanajamii mmoja nzagambadume kupost link ya kitabu kilichoandikwa na mlinzi wa raisi Kagame aliyekimbilia UK kuepuka kifo kilichokuwa tayari mlangoni mwake.
KWA NINI NAMTAJA KIKWETE NA MEMBE
Kwanza ijulikane wazi kuwa Watanzania wengi tulifahamu kuwa Kikwete alikuwa raisi mpole na kufikia hatua ya tukamuita raisi dhaifu aliyezungukwa na marafiki wabaya (walio na hulka ya kujinufaisha wao na familia zao). Nakumbuka nikiwa navuka Mtukula kwenda Kampala siku hiyo sitausahau hasa baada ya kukuta kundi la raia wa Rwanda wakiwa na mizigo yao wakifurushwa kurudishwa Rwanda bila kujali walikuwa na mifugo au makazi,wameoa Watanzania au Watanzania wamewaoa walilazimishwa kurudi makwao kwa amri ya raisi Jakaya Kikwete!!.
Pale mpakani alikuwepo mama mmoja na mwanae wamelala kandoni kidogo mwa barabara huku mtoto akiwa na hali mbaya bila nguo ndipo utu wa Kitanzania niliuona pale kwani yule mama kama alitoka hapo basi hatasahau maisha yake yote kwani alichangiwa na abiria wa Kitanzania kwa kupewa vyakula, nguo na pesa na katika basi gumzo ilikuwa Kikwete ana bifu na Kagame lao binafsi lkn limesababisha hadi wasiohusika wanataabika ukweli hata mimi nilikuwa mmoja wa waliokuwa wanamshutumu raisi. Tulienda mbali kwa kusema huu ukatili si angeuelekeza kwa wezi walioko serikalini mwake lkn msimamo wa Kikwete ulikuwa palepale na hadi anatoka madarakani sikumbuki kama Kikwete alishawahi kwenda ziara Rwanda.
MEMBE ambaye alikuwa mtu wa karibu wa raisi Kikwete wengi tulijua ni usalama wa Taifa (TISS) hivyo tulifahamu kuwa linalotokea baina ya Tanzania na Rwanda basi kwa namna moja Membe alikuwa anafahamu tukizingatia kuwa alishakuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka kadhaa.
KITABU CHA NOBLE MARARA
Kitabu hiki ukianza tu kukisoma sio tu utastaajabu usiyoyafahamu kuhusu Kagame ila utashangaa kwa nini tuna urafiki na mtu dizaini hii (Kagame na Rwanda). Kitabu kimemweka wazi Kagame maisha yake,tabia yake,ukatili wake,namna anavyosuka mipango ya mauaji na namna anavyoplan kujisafisha namna alivyokuwa anazini na wake za watu wake wa karibu akiwa analindwa na ma body guards wake!!
Mtu anayeandika kitabu hiki kumbuka ni mtu aliyekuwa anamlinda Kagame kuanzia asubuhi gadi asubuhi nyingine, yeye mwenyewe kashiriki mauaji akifikiria anailinda Rwanda na Kagame kumbe ni chuki na kujiimarisha tu kwa Kagame rafiki wa karibu wa Tanzania kwa sasa!! Hadi anatoroka alikuwa tayari yuko kwenye target za Kagame
Katika haya maelezo mafupi sana nimeelewa sasa kuwa Mh. raisi Mstaafu Kikwete alibaini na kujilidhisha pasipo shaka kuwa urafiki na huyu mtu sio kabisa hasa baada ya majeshi ya Tanzania kuwapa kichapo M23 jeshi katili la Kagame kipindi hicho huko DRC
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mama nae ni hatarii sana!!Uk 191 unaelezea ukatili wa mama kagame
Alimrubuni mwimbajj kizito mihigo kurudi rwanda kisha wakamtengenezea kesi ya uhain
Jinga weeeHiki kitabu asilimia 90 ni uzushi tu. Kuna baadhi ya incidence zimetajwa tofauti kabisaa na ukweli uliotokea na ambao unajulikana 100%. Kwa ufupi huyu mwandisha alichokifanya ni ku kaa na timu ya wapinzani na wabaya wa Kagame walioko nje na kuunda unda huu mtiririko huku akiunganisha baadhi ya vitu vilivyotokea na kuvitwist iri mradi viendane na lengo la kumuharibu mbaya wao (PK). Inawezekanaje mtu kama Marara ambaye alikuwa Driver aweze kushuhudia incidents zote hizo? This is impossible. Mfano mwingine anaposema PK aliondoka na Convoy kumfuata Daktari wake kisha akafikia kumpiga makofi n’amateke housegirl. Can you imagine? Halafu eti akalazimisha huyo house girl afukuzwe kazi, kichekesho kabisa. Hivi kama alikuwa anamuhitaji huyo Dr, kwanini hakutuma hiyo convoy iende kumleta bila ya yeye kuambatana nayo? Kwa ufupi hivi sasa wapinzani wa Kagame baada ya kushindwa Kijeshi na Kisiasa wanaendesha vita dhidi yake kwa njia hii ya kumchafua kupita kiasi na kuna watu wanalipa pesa nzuri tu ili vitu kama hivi vichapishwe hawahitaji viwe na ukweli ili mradi tu visomwe na watu wengi iwezekanavyo. Ndio maana utapata story za mtu kama Himbara, Marara na wengine wengi tu. Lakini baadhi ya nondo wanazozitumia kama matukio mengi yaliyomo humu kwenye hiki kitabu yanakosa kabisa Logic, kama nilivyosema ni mtiririko wa kuunga unga na kutwist hapa na pale iri mradi vyote viwekwe juu ya kichwa cha PK, ukiingia kwe different Media news na Blog tofauti tofauti za upinzani huko nje utapata hizi incidence zote anazozizungumzia huyu mwandishi. Alicho kifanya yeye na timu yake ni kukaa chini na kuunganisha kisha kujifanya eye witness wa kila kitu. Utaona kuwa anajaribu kuleta mgawanyiko ndani ya wanajeshi kwa kuweka taarifa hizi alizozitengeneza juu ya vifo mbalimbali vya makamanda wao. Kuna mahari ana wapa pole baadhi ya watu akidai kuwa wameonewa au wamekosewa haki na ambao kwa kweli baadhi yao ni maaskari tena kwenye vitengo muhimu nia ikiwa kuwamanipulate ndani ya vichwa vyao, lengo ni kutaka kuanzisha vuguvugu la kumchukia Rais Kagame from within kwani njia nyingine walizojaribu zimeshindwa mpaka sasa. Hii mbinu ndio hiyo hiyo inatumiwa kumgonganisha Rais Kagame na Majirani zake. Kwa kutumia Uwezo mkubwa kifedha walio nao baadi ya hawa wapinzani(Rujugiro,Rusesabagina,Kayumba,Karegeya-RIP, nk) waliweza hata ku manipulate watendaji na baadhi ya maofisa wakubwa kwenye nchi jirani kwenye haya malengo yao. Kwa mfano pesa za Rujugiro ndio zinafanya kazi kwa maofisa wa usalama huko Uganda, kuna mengi naweza watajia hapa ila naona post ishakuwa too much, Mimi niandikaye nipo hapa Rwanda na hii ni nchi yangu nafanyakazi kwenye mashirika ya kimataifa na nina bahati ya kuweza kupata na kufanya uchambuzi wa habari zote za Rwanda. Nakushauri msomaji ufanye uchambuzi wako huru tu, kwani mwandishi amejaribu kumuonyesha Kagame kama mtu mbumbumbu, mwenye hulka, asiye na jema au zuri hata moja lakini sindani kama ndiye tunayemfahamu au hata tunaemsikia kwenye medani za kitaifa na kimataifa.