Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Huu mjadala kutoka kwenye hiki kitabu unanikumbusha kitabu kilichokususu utawala wa Raisi wa US, Donald Trump, "Fire and Fury, Inside the Trump White House". Hapa pia Mwandishi Noble Marara amefanikiwa kutulisha tunachopenda kula(kusikia) na naona kuna chumvi zaidi, na wengi wetu tunatekwa hapa kwasababu hatujaruhusu kuwa free thinkers tunaotoa nafasi ya kusikia na kujifunza kutoka pande zote za hadithi bila ku-take sides.
Leta ya upande wa pili tuoanishe mnasemasema tu sisi tunaamini kwa sababu nyingi tu. Juzi kamuua msemaji wa upinzani, kamfunga na kumfirisi dada aliyetaka kugombea urais mlivyo watetezi msio na fikra mnadhani hatumpendi pk nyosheni maelezo. Vikosi vyake vilikiwa moroni juzi leteni hoja siyo ubishi tu basi pk ni hatari kuliko jata sjetani mwenyewe tunapoona mkuu wetu anakuwa na urafiki na mtu wa aina hii tunaogopa.
 
Leta ya upande wa pili tuoanishe mnasemasema tu sisi tunaamini kwa sababu nyingi tu. Juzi kamuua msemaji wa upinzani, kamfunga na kumfirisi dada aliyetaka kugombea urais mlivyo watetezi msio na fikra mnadhani hatumpendi pk nyosheni maelezo. Vikosi vyake vilikiwa moroni juzi leteni hoja siyo ubishi tu basi pk ni hatari kuliko jata sjetani mwenyewe tunapoona mkuu wetu anakuwa na urafiki na mtu wa aina hii tunaogopa.
Hao makamanda ni Watusi au Wahutu?
 
Ni namna tu unavyoweza kuzichanga karata

Siasa sio uhalisia, unakula na nani, 'unawanyenga' vipi wenzio baasi unakaa madarakani kiulaiiini

Ni Magufuli tu alipata urais bila kubebwa na mtu sababu ya Mapenzi ya Mungu kwa taifa hili

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
Yaani Mungu anapendwa watu wanavyopotezwa?
 
Ongezea nyama: hifadhi ataipata kwenye awamu ya Magu tu!
Si awamu ya magu pekee bali kwa awamu zote. Kipindi cha awamu ya nne walipishana aliyekuwa mshika-dau zikiwa ni tofauti binafsi ambazo bila shaka zilikuwa ni za ki-maslahi binafsi zaidi
 
Jana nilitamani nikimalize kukisoma hadi macho yakavimba. Niliona namna alivyokuwa anawat..o.mb.ea rafiki zake huku akiwa na walinzi wake bila huruma!! Mkuu ili watu waenjoy na kumfahamu huyu rafiki wa JPM naomba utafasiri kwa kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.. huyo ibilisi amekuwaje rafiki kipenz wa Pombe??!
 
Aisee mwamba akijimix kuingia ubalozi wa Rwanda wanaweza kum-kashogi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wawe waangalifu kweli kwani huyu bwana ni highly trained commando of the highest order na kwa vile anaelewa kinacho endelea, anakuwa mwangalifu sana na pia nadhani wale waliompa hifadhi ya ukimbizi nao watasaidia kumpa ulinzi.
 
Kuna sehemu mwandishi anaandika kuwa 'kuna mwanajeshi mmoja wa RPF alienda kulalamika kwa Kagame kuwa Kabarebe anatumia nafasi yake kulazimisha mahusiano na demu wake wakati anajua fika kaberebe ana UKIMWI, huyo mwanajeshi akaundiwa zengwe na kupotezwa'..

Nina ujuzi wa kugundua muathirika wa muda mrefu wa ukimwi kwa macho tu hivyo nika google picha za kaberebe na kugundua kuwa mwandishi kaandika ukweli..

Hivyo nimekiamini kitabu hiki..
james.jpeg
images%20(4).jpeg
images%20(3).jpeg
 
Kuna sehemu mwandishi anaandika kuwa 'kuna mwanajeshi mmoja wa RPF alienda kulalamika kwa Kagame kuwa Kabarebe anatumia nafasi yake kulazimisha mahusiano na demu wake wakati anajua fika kaberebe ana UKIMWI, huyo mwanajeshi akaundiwa zengwe na kupotezwa'..

Nina ujuzi wa kugundua muathirika wa muda mrefu wa ukimwi kwa macho tu hivyo nika google picha za kaberebe na kugundua kuwa mwandishi kaandika ukweli..

Hivyo nimekiamini kitabu hiki..
View attachment 1084772View attachment 1084774View attachment 1084775
Hongera kwa ujuzi ulionao mkuu
 
Nimesoma kitabu cha noble marara kinachoitwa behind the presidential curtain kwa kweli yaliyokuwa yanapangwa na kagame dhidi ya kikwete wakati huo wa kutafuta Amani kongo ni mambo ya hatari sana.Ushiriki wa kagame katika kufanya kongo isitawalike na kikwete kumwabia live bia kupinda ilimuuma sana. amefanya majaribio mengi ya kuwashambulia wakuu wa nchii za maziwa makuu. Ebu tusome baadhi ya pages chache ndani ya kitabu hicho
 

Attachments

  • Screenshot_2019-05-05-19-23-15[1].png
    Screenshot_2019-05-05-19-23-15[1].png
    9.2 KB · Views: 49
  • Screenshot_2019-05-05-19-22-48[1].png
    Screenshot_2019-05-05-19-22-48[1].png
    24.5 KB · Views: 51
  • Screenshot_2019-05-05-19-21-08[1].png
    Screenshot_2019-05-05-19-21-08[1].png
    24.5 KB · Views: 51
  • Screenshot_2019-05-05-19-21-03[1].png
    Screenshot_2019-05-05-19-21-03[1].png
    28.3 KB · Views: 51
When someone dreams turned to be reflected as reality, whoever believe in it is a lazy in thinking.
The curtain is known by someone who put in the first place, others may just speculate.
 
Jamani AMANI yooooote hii iliyopo Rwanda leo. kutoka mauaji ya kimbari kama tulivyoona tukiwa kule USA yameisha nani alijitoa? eti alikuwa anasoma marekani si walimuona anafaa?

Kweli watu ni nyama ya matako. hivyo vighorofa kumi tu ndo vinawatoa roho. mnaomba afe vibaya mtu kama huyu.

Hao alowaua ni kwa sababu aliwawahi ila kifo kilikuwa chake yaani afe yeye kwani kujilinda ni makosa mbona wewe una miliki, mkuki, panga, bastora ya nini hiyo? badala ya kushukuru ndg zetu wako salama.mnaponda tumuogope!

Hata wewe ukiwa Rais utafanya hayohayo, ndo utakuwa mshenzi kweli. na tukiruhusu mkeo aseme unavyoficha wali chini ya kitanda ukisikia hodi! unaficha pesa kwa hawala, unadhurumiwa na hupendi wageni, unamtesa kila leo wengine hamtaki kuoa sababu una taka ule pesa yako mwenyewe, mke atakubanabana mbona hatusemi, Lazima ajilinde kama Rais na familia yake , awe tajiri si ametumikia nchi yake? fikra za kimaskini hizi kulaumu laumu tu, watu msiokuwa na talent ya uongozi mna midomo kunuka sana, hata mwandishi wa kitabu mnafiki tu,mmekutana au mnataka aishi kwenye nyumba ya makuti? kwenda jinga.
 
Jana nilitoa link ya ku download hiki kitabu, kwa ambao hawaja download ingia JF Store, wandugu naomba msome vizuri hicho kitabu baadaye turudi kwenye mjadala hapa maana niliyoyasoma yanasikitisha.

View attachment 1072722View attachment 1072723

Kumbe ndiyo maaana Museveni kamchoka,wanajuana nje ndani, na Kagame hizo tabia zake ni za hatari siye yule tunayemuona sisi, SO SAD.

Kitabu kina pages 110(hard copy)ila kwenye pc hapa inaniambia ni pages 302 ,kwenye page ya 71 tunaona kitu fulani kuhusu tabia ya Kagame(familiar )

--
--It was President Kagame himself who briefed his senior intelligence commanders to use the tactic of being friendly to those they were planning to kill, at some point they gave out sugar and salt, cooking oil and soap to the locals that our soldiers had looted from shops just to make them come out of the hiding only to be killed in the end.----

Ni kwamba mwaka 1992 katika mazungumzo ya amani Arusha,Rais Juvenal Habryimana alisema wakimbizi wa Rwanda walioko nje kurudi ni ngumu sababu hakuna ardhi ya kutosha kwa hiyo akawasambaza wahutu mipakani huko na kuwapa ardhi ili ionekane kweli pamejaa na pia sababu nyingine ilikuwa ni kuwapeleleza RPF waliokuwa wanavamia kutokea Uganda

So,trick ya Kagame ikawa ni kwenda kwenye vile vijiji na wanajeshi wake kujifanya marafiki zao wakiwapa sukari,chumvi,nguo,siku moja katika kijiji cha Kagitumba wakaitisha mkutano mkubwa wahutu wakajaa wake,waume kwa watoto,katikati ya mkutano askari wa RPF wakarusha risasi na mabomu ya kutosha wakaua maelfu ya wahutu.

Niko page ya 72 ila dah hadi hapo nilipofika jamaa aliua marafiki zake waliomsaidia kupindua nchi karibu 10 tena wenye vyeo vya juu jeshini akiwemo FRED RWIGEMA swahiba mkuu wa Museveni kiasi cha kusababisha mdogo wake Museveni meja Salim Salehe kwenda kuua mameja wawili wasio na hatia waliosingiziwa na Kagame kwa Musevni kwamba walimuua Rwigema

Jamaa alikuwa anawaogopa makamanda wa ukweli waliomtoa dikteta Habrayimana , walikuwa hawamkubali sababu hakupigana vita muda mwingi alikuwa masomoni Marekani alipopelekwa na Museveni.

Mwandishi anasema jamaa ana tabia ya kujifanya rafiki yako huku akikutafutia muda sahihi wa kufanya yake(does that sound familiar?
BEING A PRESIDENT OF BLACKS IS NOT A BED OF ROSES, IT NEED HUMILIATIONS AND SACRIFICES, FROM EVERY ONE OF YOU.
 
Jamani kwa kweli nawashauri mkisome hiki kitabu chote maana yaliyomo ni maovu makubwa sana. Kagame ni zaidi ya dikteta. Ni afadhali Idd Amin, Bokasa, Sanko na madikteta wengine mara 1000 kuliko Kagame. Huyu Kagame ni nyoka, yaani GREEN SNAKE IN GREEN GRASS. Kwa kuwa amekuwa akija Magogoni mara kwa mara, nina wasiwasi tayari ameishamuambukiza mkuu wa kaya. Naomba tumkemee huyu nyoka mwenye sumu kali asipende kuja hapa nchini mara kwa mara asije akatuletea shida siku za usoni.
Hapo mkuu umem-exaggarate sana huyu jamaa, hana uwezo huo mbele ya TZ
 
Hapo mkuu umem-exaggarate sana huyu jamaa, hana uwezo huo mbele ya TZ
Mkuu umeni quote vibaya. Ninachosema ni kwamba tum block Kagame asije Magogoni kwani anaweza kumuambukiza JPM udikteta (au kwa lugha nyingine, wanaweza kuambukizana udikteta) ikawa hatari kwa raia wasiokuwa na hatia.
 
Kuna sehemu mwandishi anaandika kuwa 'kuna mwanajeshi mmoja wa RPF alienda kulalamika kwa Kagame kuwa Kabarebe anatumia nafasi yake kulazimisha mahusiano na demu wake wakati anajua fika kaberebe ana UKIMWI, huyo mwanajeshi akaundiwa zengwe na kupotezwa'..

Nina ujuzi wa kugundua muathirika wa muda mrefu wa ukimwi kwa macho tu hivyo nika google picha za kaberebe na kugundua kuwa mwandishi kaandika ukweli..

Hivyo nimekiamini kitabu hiki..
View attachment 1084772View attachment 1084774View attachment 1084775

Mkuu tunaomba hizo mbinu nasisi tupate kujikingia
 
Back
Top Bottom