Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Museveni ni muslim ?
Siyo muslim, hayo ni majina ya kazi. Hata hilo jina lake Yoweri Kaguta Museveni ni la kuungaunga, baba yake alikuwa askari kwenye vita ya pili ya dunia ambayo East Africa ilipigana upande wa Uingereza ambapo jeshini alikuwa katika battalion ya 7 ya kikosi chake, wenyewe wakijiita 'baseveni' yaani wa battalion ya saba, wenzao wakitaja mmojammoja kama 'museveni'. Kwahiyo hii siyo surname halisi, ni jina la members wa battalion hiyo. Museveni ametumia jina hili makusudi kuficha asili yake halisi.
Mdogo wake Museveni huyo mnayemfahamu kama Salim Saleh, hili pia siyo jina halisi, ni nom de guerre (jina bandia la kutumia vitani). Jina lake halisi anaitwa Caleb Akandwanaho (utaona hata jina 'Museveni' halipo).
Hata mwanzilishi wa RPF Marehemu Col Fred Rwigema jina lake halisi lilikuwa Emmanuel Gisa, hilo lingine lilikuwa nom de guerre.
 
Siyo muslim, hayo ni majina ya kazi. Hata hilo jina lake Yoweri Kaguta Museveni ni la kuungaunga, baba yake alikuwa askari kwenye vita ya pili ya dunia ambayo East Africa ilipigana upande wa Uingereza ambapo jeshini alikuwa katika battalion ya 7 ya kikosi chake, wenyewe wakijiita 'baseveni' yaani wa battalion ya saba, wenzao wakitaja mmojammoja kama 'museveni'. Kwahiyo hii siyo surname halisi, ni jina la members wa battalion hiyo. Museveni ametumia jina hili makusudi kuficha asili yake halisi.
Mdogo wake Museveni huyo mnayemfahamu kama Salim Saleh, hili pia siyo jina halisi, ni nom de guerre (jina bandia la kutumia vitani). Jina lake halisi anaitwa Caleb Akandwanaho (utaona hata jina 'Museveni' halipo).
Hata mwanzilishi wa RPF Marehemu Col Fred Rwigema jina lake halisi lilikuwa Emmanuel Gisa, hilo lingine lilikuwa nom de guerre.
aiseee hilo la salim saleh nimelijua hapa jukwaani ila la museveni na Rwigema sikujua.LONG LIVE JF KUNA AKILI NYINGI SANA HAPA. tupe madini mkuu najua umeandika kidogo tu
Siyo muslim, hayo ni majina ya kazi. Hata hilo jina lake Yoweri Kaguta Museveni ni la kuungaunga, baba yake alikuwa askari kwenye vita ya pili ya dunia ambayo East Africa ilipigana upande wa Uingereza ambapo jeshini alikuwa katika battalion ya 7 ya kikosi chake, wenyewe wakijiita 'baseveni' yaani wa battalion ya saba, wenzao wakitaja mmojammoja kama 'museveni'. Kwahiyo hii siyo surname halisi, ni jina la members wa battalion hiyo. Museveni ametumia jina hili makusudi kuficha asili yake halisi.
Mdogo wake Museveni huyo mnayemfahamu kama Salim Saleh, hili pia siyo jina halisi, ni nom de guerre (jina bandia la kutumia vitani). Jina lake halisi anaitwa Caleb Akandwanaho (utaona hata jina 'Museveni' halipo).
Hata mwanzilishi wa RPF Marehemu Col Fred Rwigema jina lake halisi lilikuwa Emmanuel Gisa, hilo lingine lilikuwa nom de guerre.
aiseee hilo la salim saleh nimelijua hapa jukwaan(siku zote nilikuwa nadhani alibadili dini)i ila la museveni na Rwigema sikujua.LONG LIVE JF KUNA AKILI NYINGI SANA HAPA. tupe madini mkuu najua umeandika kidogo tu
 
acha uongo wako salim saleh na museven wamechangia mama, baba tofauti baba ake ni muislam. na museven ni mkristo. hivi hujui museven ana mtoto moshi na mama yake ni mchaga?
Wewe ndiyo mwongo. Baba yao ni mmoja anaitwa Amos Kaguta na alikuwa na watoto watatu ambao ni Yoweri, Violet na Caleb (a.k.a Salim Saleh). Caleb hakuwahi kubadili dini, hilo jina Salim Saleh ni jina la kazi tu.
 
Mkuu hauko sahihi. Salim saleh ni jina lake la kivita (nom de guerre). Ukiwa vitani inabidi kutumia jina la kivita tofauti na jina lako halisi. Hii ni kwa sababu mawasiliano (kwa wakati huo mainly radio calls) yanaweza kuwa intercepted na adui. Jina hili la kivita linatumika ili hata adui akisikia mazungumzo yenu asielewe chochote, kwa sababu majina mnayajua nyinyi wenyewe tu. Salim saleh lilikuwa ni jina la huyu bro la kivita.
Imetokea tu kuwa hata walipotoka vitani jina la salim saleh likawa limemganda ndio maana analitumia mpaka leo.
Na pia ilikuwa tahadhari ya kifamilia ili isiwe rahisi adui kujua wapi pa kumhujumu kamanda Yoweri
 
Sema siku zote mwisho wa dictators
Ni mbaya .....
Cc:Samuel do

Ova
 
Hatari kubwa
2645411.jpeg
 
Mkuu mleta uzi ni muhimu kusoma hicho kitabu ukiwa na Akiba ya jicho la tatu. Haifai kuweka hapa maandishi na simulizi na madai ya huyo mwandishi ukasema ndio ukweli na kuanza kumhukumu Kagame. Tungepata vitabu kadhaa vya pande mbili au hata pande 3 tujue ukweli umelala wapi. Lakini kumsikiliza huyu bodyguard mmoja sikubaliani nayo kabisa. Hata mimi nitakitafuta kitabu hiki nikisome na kuendelea kufanya utafiti Zaidi kuhusu Kagame, lakini ukweli ni kwamba kwenye kuongoza haswa unapotaka kuweka mambo sawa hutakosa maadui huo ndio ukweli. Kuna mengi mazuri na mabaya mengi tunasikia kuhusu Kagame lakini pia tunasikia Rwanda inaendelea vizuri sana kiuchumi sasa labda Wanyarwanda watuambie kama Kagame amesaidia nchi au la. Kwenye kuongoza nchi na kuleta mabadiriko ya jamaa mengi sana mabaya hupitiwa hakuna taifa lilifanikiwa duniani bila kupita kwenye wakati ambao sio wa kujivunia soma nchi za Ulaya, Marekani, Asia wenzetu walipita vipindi vibaya sana lakini leo wako wapi…? Hebu tuwe na akili ya mtu mzima.

Huu ndio ubinadamu always binadamu haridhiki na alichopata lzm atataka zaidi na zaidi hasa upande wa madaraka na utawala,haya yanayohadithiwa yalikuwapo tokea enzi hizo za BC,mtakumbuka history ya Julius Caesar alifanikiwa kuiunganisha Roma na kuifanya Taifa lenye nguvu na ustaarabu mkubwa lkn alitawala kwa mkono wa CHUMA mwishowe wenzake walishindwa kumvumilia wakamuua akiwa “Bungeni“!Mrithi wake mpwae Octavian ambaye pia alijiita Caesar alitawala bila kuamuamini mtu ilifikia kipindi akawaweka ndani mama yake mzazi na dadayake wa tumbo moja kwa kuwahisi wanaukaribu na Mark Anthony yule Hasimu wake mkuu!Aliamuru kuuwawa kwa Caesarion ndugu yake mtoto wa Uncie wake (Julius Caesar)aliyezaa na Cleopatra Egypt [emoji1093] mtoto mwenyewe alikuwa na miaka 8 tu!akiogopa atakuja kumpindua.so sishangai ya PK ila mara nyingi mwishowe unakuwa mbaya wahenga wanasema auwaye kwa upanga nae anakufa kwa upanga!
 
Baada ya kumaliza kusoma hicho kitabu na kufuafilia Genocide iliyotokea Rwanda kwa kweli nimepata mtazamo tofauti. comment zangu nyingi huko juu ziko kinyume na PK kung'ania madaraka.

Nimeangalia documentary ya Genocide kutoka kwa wa beligiji ambao walikuwepo hapo Rwanda, inasikitisha sana watu kuua jirani, kama kuku.

Roho za kisasi lazima zitakuwepo na itachukua muda kufutuka kabisa.Ndio maana kuna vitabu kama hivi. Sio yote ni uongo ukweli umo pia

Hali hiyo inataka mtu strong kama PK aweke mambo sawa na kwa lazima, watake wasitake. Ila mambo ya visasi nae inabidi aache yanamharibia.
 
Wewe mtusi umetumwa!!!!!!!
Hahahahaaaa🤣🤣🤣 Sasa rafiki yangu, unajua kuandika kitabu sio kazi rahisi, inahitaji fedha mpaka utakapo fika stage ya kukichapisha. Mara nying mtu huandika kitabu kwa malengo maalum, hasa hasa kujipatia kipato kwa mtu kama huyu anayeishi kwa kutegemea shirika la wakimbizi limpatie ruzuku sidani kama ni rahisi ku take all trouble mpaka kuchapisha kitabu halafu akigawe free kwa kila anayehitaji ku kisoma. Think about it and you will find the reasons in my post that you commented on.
 
Inaweza kuwa propaganda tu,hakuna uthibitisho hapa kama Kagame kufanya hayo yote

Sent using Jamii Forums mobile app
Lisemwalo lipo hasa anavyofanya kwa kuua makamanda wenzake nalo hilo anasingiziwa pakawe mnapenda kutetea waharifu sijui kwa nini. Nyerere alisha sema afadhari mjinga akielimishwa yanaisha mpumbavu ni sifa kama ifupi na urefu nadhani umejifahamu kundi lako. UVCCM
 
Kuna watu wanataka tusimsikilize huyu mlinzi, mnataka tuwasikilize wapi kwani moja ukijumlisha moja unapata 2, sasa mnataka tumsikilize yupi. Nyie wahusika wa ukatili wake huu laana na iwe juu yenu mkufe kama mambwa. Kwani uue viongozi wenzio, uue wanaokupinga, kwanini utawale miaka yoye hiyo.
Tunaushahidi wa mauaji wa makamanda wa rwanda wengi tu mnataka kutuambia nini kwendeni zenu huko. Na tafiki wa mwizi nae mwizi utampendaje muuaji kama na wewe siyo muuaji?
 
Back
Top Bottom