Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Mkuu umeni quote vibaya. Ninachosema ni kwamba tum block Kagame asije Magogoni kwani anaweza kumuambukiza JPM udikteta (au kwa lugha nyingine, wanaweza kuambukizana udikteta) ikawa hatari kwa raia wasiokuwa na hatia.
Maana yangu ni kuwa Kagame ni kijana mdogo sana kwa TZ hivyo hawezi leta ushawishi wowote wa hali hiyo coz nae ameshikiliwa maskio tuu
 
Mkui tafadhali Sana Weka Link ya Hiki Kitabu "THE KAGAME KILLING FIELDS."
 
nimesoma chote
 
Wawe waangalifu kweli kwani huyu bwana ni highly trained commando of the highest order na kwa vile anaelewa kinacho endelea, anakuwa mwangalifu sana na pia nadhani wale waliompa hifadhi ya ukimbizi nao watasaidia kumpa ulinzi.
UNAMPA SIFA ASIZOKUWA NAZO
 
Hii makala lazima niifuatilie yote. Jf ni sehemu sahihi pa kujifunza vitu
 
Waovu hua hawapendi mambo yao yajukikane. Usishangae akaanza kuwatafuta mnaomchambua humu. Au akaomba jf wafute huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…