Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Hivi kabla hamjaanza kushangilia yaliomo kwenye hicho kitabu mnamjua aliekiandika ni nani kwanza? Huyo jama Marara kweli alikua kati kikosi cha kumlinda raisi na alikua dereva katika miaka hio ya mwishoni 90's alikua anaendesha vifaru walivhoachiwa na UN kwa ajili ya usalama wa viongozi. Kwa vile alikua uneducated young man hakua anakaa na senior officers mpaka ahadisiwe kinachoendelea. Alitimuliwa jeshini na kukimbia nchi na huko ulaya aliko anatafuta attention tu watu kwani ameshakosana na aliokimbia nao wengi huko ughaibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yawezekana kweli anatafuta kiki na kuichafua nchi yake bureee
 
Mi naona Max Melo JF itadukuliwa ili kuzima hii kitu sababu watu wanasoma hata IKulu pale pale wakuwa wavuta muda kwenye lindo

Watudi wamrjasiruka sana, sasa hivi wana comment wao wanajibu wao ha ha kuda deki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nnyie ambao lugha haipandi ndio mnaotuharibia. Mnashindwa kusoma kingereza rahisi namna hii halafu mna simu janja kali mko JF.

Nyie ndio mnaopigia makofi kila kitu sababu hamjui tofauti ya maigizo na uhalisia. Eti Mods atafsiri mkafie mbele !!!!

OK inawezekana mko Kigali mnajua French zaidi ila kana ni Wabongo humu nendeni mkale maharage Mods hawezi kutafsiri

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unareply kwenye komenti husika

Shwainiii

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
Asante mkuu,ni muhimu tujue haya yote sababu system ya awamu ya tano ilivyomkumbatia huyu mtu inasikitisha sana haswa ukichukulia awamu hii imejaa wachumia tumbo,hawaangalii mbele future ya watoto wetu,naogopa sana Tanzania ya mbele nina hakika mr slim anatujua hadi chupi yetu sasa hivi.TUKIMALIZA HUU MJADALA NITAWEKA LINK NYINGINE YA KITABU CHA DAVID HIMBARA ALIYEKUWA MSHAURI MKUU WA KAGAME KINAITWA KAGAME'S KILLING FIELDS
Awamu hii imejaa wachumia tumbo?

Vituko hivi

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
Hahaha alafu kwenye post zingine wanajidai at Wana mastes degree hahaha hapa kwenye lugha wanakuwa wapole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaweza kuwa kweli wanazo kumbuka kizungu sio lugha mama kwetu

Kuna wasomi wana PhD lakini hawajui kizungu


Ingawa ni uzembe kuwa na elimu kubwa halafu kiingereza cha kusoma huwezi

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
Asante mkuu,ni muhimu tujue haya yote sababu system ya awamu ya tano ilivyomkumbatia huyu mtu inasikitisha sana haswa ukichukulia awamu hii imejaa wachumia tumbo,hawaangalii mbele future ya watoto wetu,naogopa sana Tanzania ya mbele nina hakika mr slim anatujua hadi chupi yetu sasa hivi.TUKIMALIZA HUU MJADALA NITAWEKA LINK NYINGINE YA KITABU CHA DAVID HIMBARA ALIYEKUWA MSHAURI MKUU WA KAGAME KINAITWA KAGAME'S KILLING FIELDS

Mjadala haumaliziki, weka link mkuu
 
Mwenzako kafanya tafiti tena kutoka kwa mwandishi wa kitabu aliyeshuhudia.

Sasa unaposema 'vitu havina uhakika' inabidi utumie akili yako zaidi ufanye utafiti ili upate uhakika.


NOTE: Akili ikichoka muda wako wa kuishi siyo rafiki.
Na akili ikiwa haijachoka utaishi maisha marefu kama Mugabe😎
 
Kagame nimemaindi sana alipo mpiga yule beki 3 makofi, had kafukuzwa kazi kwa general........

Yule dada nadhan Ni Yule mzuri kule ambassador choir

Kagame umezingua hapa......
Embu funguka kidogo Mkuu, sijakuelewa. Ina maana waligombania mwanamke?
 
Nimeyasema humu ndani kua mwandishi katika baadhi ya mambo ametia chumvi watu wakaanza kuniuliza kama mimi ni mhutu au mtusi? Mimi sio mnyarwanda lakini namjua huyu mwandishi. Kwanza tukumbuke ana miaka 19 hajakanyaga Rwanda, lakini ameachambua mambo yaliotokea huko baada ya yeye kutoroka nchi as if alikuepo. Ni vizuri pia kutomfanya kua only our reliable source ya yaliotokea. Katika kitabu chake hakuna mahali aiposema kua kuna hata operation moja aliohusika/shiriki. Za kuambiwa......

Sent using Jamii Forums mobile app
Mange yuko US, anawaambia na kuwaandamanisha huku

Ya Marara mnabisha

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
vitani alikuwa muoga kuna siku walipigwa ambush ila technic ilkuwa ni wao kunyamaza kimya ili kumvuta na kumchanganya adui yeye kapaniki kaanza kufyatua ma risasi,wenzake wakakataa kuwa naye akarudishwa ofisini kwenyemambo ya intelejensia ambapo ndipo kwenye umahiri wake ikiwepo alishawahi kumsave museveni na jaribio la kupinduliwa
lakini alikuwa pia katili sana huko hadi wakampa jina la utani PILATO,Siku moja kuna madogo wanajeshi walilewa akaamuru wawekwe lock up kuna mkubwa mmoja akaja kuwatoa wakaenda uwanja wa vita,waliporudi kagame akamuwakia yule jamaa,alikula makofi ya nguvu hadi akaanguka kuanzia siku hiyo akaanza kuvaabullet proof akiamini kuna wenzake wanamchukia watamuua anytime
Nani alikula makofi

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
Back
Top Bottom