Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Nashukuru sana wakuu kwa kusoma kitabu hiki,ukweli ni kwamba you do not know what you have untill you loose it,ninavyoangalia hali iliyopo sasa na iliyopita naweza kusema kikwete alikuwa na akili nyngi sana na aliona mbele,usalama wa nchi kwake ilikuwa priority kubwa ,kaondoka tu ghafla vijana wetu huko congo wanakufa kama kumbikumbi,watu wameingia kichwakichwa kwa dikteta kagame na bado hapa jukwaani watu wanasifu TISS ipo makini?kivipi?
kama hadi IGP anafanya ziara za mafunzo Rwanda tupo serious kweli?tumekumbatia miiba itatuchoma tu kumbuka hiyo njemba inaondoka madarakani 2034 only God knows anatujua kiundani kiasi gani,hapokatikati atafanya nini?sina imani na sytem ya awamu ya tano inamvyomkumbatia huyu muuaji hata Burundi wamepigwa na butwaa maana walikuwa wanatutegemea dhidi ya jitu liliowahi kuchoma hadi soko lao kuu la gikomba kuwakomoa.
Umeanza vizuri,lakini umemaliza sivyo.
Tungeliweza kueleza yote,lakini hapa so mahala pake.
Kupokekezana vijiti vya uongozi kuna siri nyingi pengine hats sisi hapa JF hatuwezi kuzibaini na hata tunapozibaini si busara kuropoka hovyo.
Ni muda tu utasema.
 
Unaamini ni kweli? Kama alikuwa muoga hivyo unadhani ilikuaje RPF ilikubali kuongozwa na kiongozi muoga?
Ni namna tu unavyoweza kuzichanga karata

Siasa sio uhalisia, unakula na nani, 'unawanyenga' vipi wenzio baasi unakaa madarakani kiulaiiini

Ni Magufuli tu alipata urais bila kubebwa na mtu sababu ya Mapenzi ya Mungu kwa taifa hili

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
Mkuu mleta uzi ni muhimu kusoma hicho kitabu ukiwa na Akiba ya jicho la tatu. Haifai kuweka hapa maandishi na simulizi na madai ya huyo mwandishi ukasema ndio ukweli na kuanza kumhukumu Kagame. Tungepata vitabu kadhaa vya pande mbili au hata pande 3 tujue ukweli umelala wapi. Lakini kumsikiliza huyu bodyguard mmoja sikubaliani nayo kabisa. Hata mimi nitakitafuta kitabu hiki nikisome na kuendelea kufanya utafiti Zaidi kuhusu Kagame, lakini ukweli ni kwamba kwenye kuongoza haswa unapotaka kuweka mambo sawa hutakosa maadui huo ndio ukweli. Kuna mengi mazuri na mabaya mengi tunasikia kuhusu Kagame lakini pia tunasikia Rwanda inaendelea vizuri sana kiuchumi sasa labda Wanyarwanda watuambie kama Kagame amesaidia nchi au la. Kwenye kuongoza nchi na kuleta mabadiriko ya jamaa mengi sana mabaya hupitiwa hakuna taifa lilifanikiwa duniani bila kupita kwenye wakati ambao sio wa kujivunia soma nchi za Ulaya, Marekani, Asia wenzetu walipita vipindi vibaya sana lakini leo wako wapi…? Hebu tuwe na akili ya mtu mzima.
Unafikiri ukitaka kusikiliza upande wa Kagame utaambiwa haya?

Hiki kitabu mengi ni kweli, unatakiwa kuwa na akili tu ya kuona mengine yanastahili kukushangaza na mengine ya kawaida tu

Ukitaka kusikiliza pande zote hutapata ukweli wowote, sio kila habari inahitaji kubalance

Ni wewe tu kujua lipi kweli la ajabu na lipi la kawaida(ya kawaida hata watawala wetu na wa nchi zingine hasa za kiafrika wanayo)

Mfano uambiwe first lady anafanya shopping za gharama ughaibuni (sasa ajabu nini hapo?)

Lakini ukiambiwa first lady ana tabia za kutoka/anadate na wasaidizi wa rais (hii inashangaza)

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
Kuna Genocidals humu yaani hawatulii bila kuleta negative threads za Kagame na Rwanda.
Ukisoma threads humu JF utasema Rwanda hakukaliki kumbe stori zinaishia humu humu...uzuri wanyarwanda wengi JF hata hawaifahamu na kiswahili hawaelewi hivyo kelele zote hizi hazina impact yoyote kwa wahusika..
Unadhani adui ataandika nini zaidi ya kutunga hadithi!!
Hiki kitabu pamoja na vingine havina ukweli wowote ni propaganda za maadui wa Kagame..
Hawafahamu raia wa kawaida

Kagame na wenzake wanaelewa(na ndio walengwa)

Vipi, lile gereza la Gitarama bado mwendo ni ule ule wa kurundika watu na kuwasahau huko?

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
Huyo fala na jamaa mwingine kabare sijui mafala sana, wana shobo za kijinga. Eti Wanyarwanda hizi nondo hawasomi eti hawajui kiswahili wakati watu kibao wamezaliwa nyarugusu.

Mwambieni basi azime mtandao Rwanda yote Kim Jong Un atamsaidia hiyo Kazi ka inchi kadogo kale, halafu wote tulio comment hapa wapigwe na wote wenye negative thoughts kwa PK wawe eliminated mara moja

Nadhani kuna wachumia tumbo kwenye uzi huu wanataka kutuambia eti rwanda ni bustani ya edeni sasa tunaona wivu sisi mashetani ha ha ha.

Dunia imebadilika wajomba the cat is out of the bag, nondo kibao tutasoma.l,

Huyu PK anafanana na yule jamaa wa Gambia aliyekuwa anavaa nguo nyeupeee na Quran mkononi yeye mwenyewe alikuwa mweusi tiiii. Alisema aligundua dawa ya HIV. Siku alipokimbia nchi alipitia benk kwanza ha ha ha

Halafu wajinga wote waliokuwa wanamsifia yule aliyetimka wakabadili gia juu kwa juu.

Hawa jamaa mwisho wao ovyo sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyarwanda wasingefahamu kiswahili ambassador wasingeimba kiswahili

Hatukuimbiwa sisi, na wao pia

Rwanda iwe bustani ya Eden mbele ya Gitarama?

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
mh labda TISS ya zamani sasa hivi kila idara serikalini inamsikiliza mtu mmoja,wangekuwa wanafanya kazi yao kimakini wasimgemruhusu jamaa kumkumbatia kagame kichwakichwa hivi ,najiskia hadi kutapika nikikumbuka alivyosema ataleta vijana wa Rwanda wa IT kwa ajili ya ATCL
Dharau zako tu, watu wasingekuwa wanafanya kazi usingepata hata muda wa kuingia hapa



Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
yule dada kamsulubisha na kumfilisi kwa kuchukua forn tu ku gombea urais, unataka ushahidi gani tena,
Ndugu, sidhani kama umesoma nakuelewa nilichoandika kabla, mambo mengi ya PK yanajulikana na yako wazi sana.
 
nahisi huyu jamaa ana mental disorder syo kwa kuua huko
ubinafsi uliokithiri,tamaa ya mamlaka iliyopindukia na kujidhania ni bora kupita wengine,lazima kuzalishe hulka za namna hii...kama ni kweli hayo,si ajabu kwa asili yake...
 
Kuna sehemu mwandishi anaeleza kuwa, PK alikuwa anataka kumtarget JK kwa kupitia Nkurunzinza, na jamaa wa Burundi akakataa na kumtonya JK, na ndo maana wakati Nkurunzinza alipotaka kupinduliwa akiwa Tanzania, JK aliweza kumsupport kurudi Burundi kupitia Kigoma na kuhakikisha kuwa anarudi Madarakani.
Kilichofuata baadae ni kwamba PK akaanza bifu na Nkurunzinza baada ya kuona mission yake imefichuriwa.
Huyu jamaa amechachafua pia bongo, kuna Prof Mmoja wa UDSM alikuwa lawyer aliuawa maeneo ya Salasala kwa kupigwa risasi, inasadikiwa ni mission ya PK kufuta ushaidi kwa sababu huyu lawyer alikuwa anawatetea wale jamaa kwenye zile kesi za mauaji kule Arusha na alikuwa anataka PK naye akamatwe kwa mauaji.
 
Kuna sehemu mwandishi anaeleza kuwa, PK alikuwa anataka kumtarget JK kwa kupitia Nkurunzinza, na jamaa wa Burundi akakataa na kumtonya JK, na ndo maana wakati Nkurunzinza alipotaka kupinduliwa akiwa Tanzania, JK aliweza kumsupport kurudi Burundi kupitia Kigoma na kuhakikisha kuwa anarudi Madarakani.
Kilichofuata baadae ni kwamba PK akaanza bifu na Nkurunzinza baada ya kuona mission yake imefichuriwa.
Huyu jamaa amechachafua pia bongo, kuna Prof Mmoja wa UDSM alikuwa lawyer aliuawa maeneo ya Salasala kwa kupigwa risasi, inasadikiwa ni mission ya PK kufuta ushaidi kwa sababu huyu lawyer alikuwa anawatetea wale jamaa kwenye zile kesi za mauaji kule Arusha na alikuwa anataka PK naye akamatwe kwa mauaji.
inasemekana hata yule mkurugenzi wa usalama aliyeuliwa moshi kwa kupigwa risasi...kumbuka ile ndege iliyobeba wale marais wawili,Moi alitaka kuomba lift akazuiliwa na marehemu yule akajiondokea na gari kurudi nairobi
 
Dharau zako tu, watu wasingekuwa wanafanya kazi usingepata hata muda wa kuingia hapa



Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
vipi hao jamaa zako wanaosababisha tupate mda wakuingia hapa WAMEWARUHUSU WALE VIJANA WA IT TOKA RWANDA kufanya kazi ATCL na bandari?vipi ile office special ya Rwanda bandarini napale kahama zinaendeleaje?
 
vipi hao jamaa zako wanaosababisha tupate mda wakuingia hapa WAMEWARUHUSU WALE VIJANA WA IT TOKA RWANDA kufanya kazi ATCL na bandari?vipi ile office special ya Rwanda bandarini napale kahama zinaendeleaje?
Weka ushahidi

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
 
Weka ushahidi

Sijui Kwanini Japo Naelewa Sababu
nimekuuliza swali unaniambia niweke ushahidi,hukumsikiarafiki yake kagame siku anapokea bombardier ya kwanza alichosema kuhusu kuleta vijana wa IT toka Rwanda ku operate ATCL?hilo la Rwanda kuwa na office special bandarini na kahama hulijui nalo?
 
Hivi kabla hamjaanza kushangilia yaliomo kwenye hicho kitabu mnamjua aliekiandika ni nani kwanza? Huyo jama Marara kweli alikua kati kikosi cha kumlinda raisi na alikua dereva katika miaka hio ya mwishoni 90's alikua anaendesha vifaru walivhoachiwa na UN kwa ajili ya usalama wa viongozi. Kwa vile alikua uneducated young man hakua anakaa na senior officers mpaka ahadisiwe kinachoendelea. Alitimuliwa jeshini na kukimbia nchi na huko ulaya aliko anatafuta attention tu watu kwani ameshakosana na aliokimbia nao wengi huko ughaibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa. Tumekuelewa vzr. Sasa hebu elezea kisa cha mtu kufuatwa hadi south na kuuawa na mauaji mengine ilikuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom