Mjadala: Kuelekea Mission 300 Africa Energy Summit: Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika ka

Mjadala: Kuelekea Mission 300 Africa Energy Summit: Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika ka

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Mjadala:

Kuelekea Mission 300 Africa Energy Summit inayo fanyika 27 - 28 January 2025

Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika katika Bara la Afrika.

Hapo kuna mambo kadhaa yanahitaji kujadiliwa kwa kina:
  • Tutumie vyanzo vipi vya nishati ili tuzalishe umeme mwingi?
  • Tutumie mbinu zipi kuzalisha umeme mwingi?
  • Tutumie mbinu zipi za kusambaza umeme?
  • Tutumie mikakati ipi ili kuhakikisha watu wote wanasambaziwa umeme?
  • Tutumie mikakati ipi ili kuhakikisha tunakua na umeme wa kutosha wakati wote?
Huu ni mjadala wawadau na wataalam wa nishati hapa jukwaani.

Tafadhali tunaomba mawazo yako ni muhimu sana.
 
Mjadala:

Kuelekea Mission 300 Africa Energy Summit inayo fanyika 27 - 28 January 2025

Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika katika Bara la Afrika.

Huu ni mjadala wawadau na wataalam wa nishati hapa jukwaani.

Tafadhali tunaomba mawazo yako ni muhimu sana.
Gas, mafuta, geothermal na maji ndio vyanzo rafiki zaidi vya umeme Africa kwa sasa.
 
Kuna mdau humu aliwahi shauri hivi kwa kuwa umeme wa REA umefika vijiji vingi Tanzania ni bora gesi itumike kuzalisha umeme wa bei nafuu huku serikali ikipunguza Kodi kwenye vifaa vya kutumia umeme kama majiko ili kila mwananchi aweze tumia umeme.

Shida ya viongozi wetu ni kukosa maono.
Yale mabasi ya CCM hela ake ingetolewa kama ruzuku kwenye gas tungekuwa mbali sn
 
M300 kuni mpango mzima(firewood)

Kwasababu kinachoimbwa tofauti kwenye vitendoz
 
Kwanini Samia amechagua tarehe ya kuanza mkutano huu iwe ni siku ya birthday yake ?

Shtukeni!

#How to beat an aquarius woman at her own game
=Focus on personal growth and pursue your own dreams.

Remember an aquarius woman may try to defend or rationalize her behavior , but by exposing her hypocrisy , you are forcing her to confront her true self and reevaluate her actions.

Example of hypocritical behavior of aquarius woman; Preaching about honesty while engaging in secretive behavior.

Confrontational strategy on how to confront this hypocritical behavior of aquarius woman; Point out the contradiction between her words and actions , questioning her integrity.

If an aquarius woman is promoting open mindedness but displaying judgemental attitudes , confrontational strategy is to challenge her judgemental comments or actions , encouraging her to practice what she preaches.


It is essential to recognize and distance yourself from toxic behavior in any relationship including with an aquarius woman. By focusing on your personal-goals and cutting off toxic behavior , you regain control of your own life and create a healthy space for personal growth. Remember beating an aquarius woman at her own game means refusing to participate in her manipulative tactics and choosing to prioritize your own well-being.
 
Mjadala:

Kuelekea Mission 300 Africa Energy Summit inayo fanyika 27 - 28 January 2025

Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika katika Bara la Afrika.

Huu ni mjadala wawadau na wataalam wa nishati hapa jukwaani.

Tafadhali tunaomba mawazo yako ni muhimu sana.
Hatujawahi kupungukiwa vyanzo
 
M300 kuni mpango mzima(firewood)

Kwasababu kinachoimbwa tofauti kwenye vitendoz
Ukichukulia nchi yetu kama case study, jiulize kama taifa ni sector ipi ambayo tunaweza toka mbele tunajipiga vifua kuwa ktk hili tumefanikisha angalau kwa asilimia 80, it's all business as usual..ni mambo yanajadiliwa na kuwekwa kwenye makabrasha tu.
 
Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika katika Bara la Afrika.
 
Kuna mdau humu aliwahi shauri hivi kwa kuwa umeme wa REA umefika vijiji vingi Tanzania ni bora gesi itumike kuzalisha umeme wa bei nafuu huku serikali ikipunguza Kodi kwenye vifaa vya kutumia umeme kama majiko ili kila mwananchi aweze tumia umeme.

Shida ya viongozi wetu ni kukosa maono.

Gas haiwezi kuzalisha umeme wa bei nafuu. Sababu haipatikani bure kama maji ya mvua, gesi hatuna umiliki nayo. Bali tunauziwa na walioigundua
 
Mjadala:

Kuelekea Mission 300 Africa Energy Summit inayo fanyika 27 - 28 January 2025

Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika katika Bara la Afrika.

Huu ni mjadala wawadau na wataalam wa nishati hapa jukwaani.

Tafadhali tunaomba mawazo yako ni muhimu sana.
Wameanza leo wanamaliza kesho
 
Muhimu tujenge hydropower kwenye potential area zote. Kwa pesa zetu wenyewe.

Kisha mambo ya gesi tufanye kwa PPP
 
Back
Top Bottom