kwa nini mnaondoka usiku,
na mie napenda kujiunga na huo msafara ila nimechelewa kuzisoma taarifa.
kama pangeni tena next week ili tupange sawa mambo ya ofisi then tuanze safari.
nasubiri mengi toka kwenu.
BIG UP PJ
Mungu ni Mkubwa na kweli ni maajabu. Jamaa zangu wengi tu waliougua sukari zaidi ya miaka hata kumi wamepona . Waliosahau lager wengine jana tulikuwa nao maeneo ya Mbauda tukipata ulabu na kusakakata rumba ile mbaua. Huwezi amini
Nami nasikia hivyo hivyo kwa watu wa Arusha
Hii bado inahitaji utafiti wa kina
mbona kila mtu anasema "KUNA MTU KAENDA....KUNA MTU KAENDA".......mi nataka kumsikia huyo MTU KAENDA aje hapa aseme mwenyewe.....acheni uzushi.
hizi ni nyakati za mwisho maandiko yanatimia.
mie hata siamni ni bora niwe tomaso, nilipokuwa kinda kuna mtoto maeneo ya Kibosho naye alikuwa anaponya watu kwa minajiri alitokewa na Bikira Maria, kwa sasa sijui hata yuko wapi.