Umempa Yesu maisha baada ya huo muujiza? His concern is the salvation of your spirit hayo mengine ni incentive tu za kukupa mbegu ya Imani ila kuzaa kwa mbegu itategemea imepandwa kwenye udongo gani, some zinaangukaga njiani ndege wanaokota hao ndege nimewaona wengi hapa JF wakisha iokota utaona kidogo kidogo ile value ya huo ushuhuda inapungua as days proceed, wakati mwingine inaangukaga kwenye miiba utaanza visingizio ooh leo sitaki kusikiliza mahubiri maana ninakazi nyingi na ile ari na viapo ulivyovitoa kwa furaha ya kuona mkeo amepona inaanza ku fade away taratibu....So if you continue with your humble heart ya kusikiliza wenye habari njema zaidi ya huo mchungaji kuna package mbali mbali zaidi ya healing miracle utaendelea kupokea na ukifungua huko ndani utakuta peace, financial break through, opportunities, right people to take you to your destiny earlier than you could imagine etc ndiyo hapo inapoanguka kwenye udongo mzuri moja huzaa mia, nyingine sitini na nyingine thelathini. Cha msingi ni kuwa huyo mkeo hajapokea uponyaji wake tu kama kweli huyo ni mtumishi wa Mungu lakini pia na anointing ya kutibu wengine wenye shida kama yake so aanze kutumia hiyo karama ili kuichochea kila anapokutana na mwenye hitaji ndiyo maana Yesu akasema kama baba alivyonituma nami pia ninawatuma kupeleka hii habari njema kwa mataifa ili nao wapate kupona....
I hope umenipata na ubarikiwe sana.