Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Ukweli ni kwamba anatoa dawa na imani ya wenye taabu wanapona!hakika Mungu anaipenda Tanzania sana mnaobeza wote ni CCM.
 
Kumbuka hajawaita, lakini waliotibiwa awali ndio wanaowapeleka ndugu zao huko ili nao wakapate uponyaji. Kama madaktari hospitalin wameshindwa kutibu watu wanajaribu tiba nyingine. waziri wa afya jana kasema watu waende wakatibiwe, yawezekana hata yeye alishaenda huko. TBC1 wameripoti kuwa watu 800 - 1000 wanafika kupata tiba kwa "Dr".

............. Mungu akasema;..... watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
......Sitawaacha mpotee.
...... niawaletea watu wakuwasaidie
.... Musa tengeneza nyoka wa shaba ili watu wakimuangalia wapone.

mkuu hata DECI walitumika 'mashahidi' wachache kurubuni jamii.
 
mimi naibeza kazi yake!kama amegundua dawa afuate taratibu,aende muhimbili kuna kitengo cha traditional medicine aeleze jinsi inavyofanya kazi,dose,inaingiaje na kutokaje mwilini,madhara yake(side effects),inaingiliana vipi na dawa nyingine(interaction with other drugs),inatumikaje kwa makundi maalum mfano watoto,wazee au wajawazito.
Imefanyiwa majaribio lini,wapi na kwa nani?haya ni baadhi ya maswali ambayo anatakiwa kuyatolea ufafanuzi.bila kujibu maswali haya halafu unaibuka from nowhere na kujidai unatibu!huu ni ukichaa wa aina fulani.naomba apate huduma ya psychiatry haraka iwezekanavyo.

nadhani umehitaji vitu vingi na utaratibu wa kisomi kuliko hali halisi ya mguduzi wa dawa
 
Kwa wale wataalamu wa magonjwa ya akili wanaweza kugundua mambo mawili muhimu hasa kwa jinsi anavyojieleza.
1.grandiose delusion-ile hali ya kujikweza ati yale majani lazima ayaombee yeye ili yaweze kukutibu.
2.hallucination-eti mungu alimuonyesha noti ya 500 na hivyo hii ndio bei ya matibabu.

Mwenye masikio na asikie,huyu mtu ni mgonjwa na anahitaji tiba haraka iwezekanavyo.


Heshima kwako Kipindupindu,

Mkuu wagonjwa wanashuhudia wenyewe wamepona wewe unakataa sijui nikusaidieje.
 
Mie na wasiwasi kuwa wengi wa wanaoenda kule wanangoma walikuwa wapo kwenye dozi sasa wanahisi wamepata namna ya kupona, kama kazi hiyo haina ushirikina ndani yake acha tuone matokeo yake, ila ninahisi kwa vile magonjwa yanayowapeleka wengi kule ni ya siri na tayari propaganda tayari zimesha enezwa kuwa watu wanapona, mtu akitumia na asipone hatoongea kwa aibu kwani ataulizwa unaumwa nini? kisha ataona aibu kusema
 
Kwa wale wataalamu wa magonjwa ya akili wanaweza kugundua mambo mawili muhimu hasa kwa jinsi anavyojieleza.
1.grandiose delusion-ile hali ya kujikweza ati yale majani lazima ayaombee yeye ili yaweze kukutibu.
2.hallucination-eti mungu alimuonyesha noti ya 500 na hivyo hii ndio bei ya matibabu.

Mwenye masikio na asikie,huyu mtu ni mgonjwa na anahitaji tiba haraka iwezekanavyo.

Wewe ndio mgonjwa wa akili kwa kuwa unaongea bila hata kutafiti kidogo ni watu wangapi wamefika huko na wakapona.Huyu jamaa ameshawaponya watu wengi sana ninaowafahamu kwa hiyo hiyo sh 500 na hata kwa ugonjwa wako huo anakushauri ukamuone atakutibu.Kwa jinsi ulivyo na negativity kwenye hicho kichwa chako lazima utakuwa ni mwanachama wa CCM.
 
mkuu huyu jamaa atasababisha watu waache dawa muhimu za haya magonjwa sugu wakiamini mauzauza ya huyu mganga.hii itapelekea watu kuharibu mwenendo wa tiba zao za kawaida.

Kuna jamaa angu alikuwa chizi kapelekwa huko kapona
 
aseme tu amegundua hiyo dawa - lakini kama kweli ni Mungu mbona ina masharti hivyo???? hapokei zaidi ya shs. 500/ kama unataka kutoa sadaka ya kumshukuru anakataa - anasema katoe kanisani or msikitini - Hauwezi kutoka na hiyo dawa hapo - kumpelekea mgonjwa aliye mbali - lazima mgonjwa aende hapo
why??????????? hayo masharti amepewa na Mungu gani???

ni kweli nina watu amepona lakini - USIJE PONA MWILI UKAIUZA NAFSI YAKO KWA SHETANI- inatakiwa kuwa makini sana - kama nimekosea namba kusahihishwa!!!!!

You r right!!
 
kwanza wana jf mfahamu kuwa huyu si mganga wala nabii bali ni mchungaji
kumbuka mungu huwainua wanyonge kutoka mavumbini na kuwaketisha na wakuu,huyu ni umchungaji mdogo tuu na wala si askofu,ametumwa na mungu kuokoa wanyonge na wenye hofu.sisi tulio arusha tumeshuhudia na tumepona mnataka tuamini kipi?dawa za kizungu ambazo unatumia mpaka kufa.

wale wasio amini hawaumwi kabisa,kumbuka kama una dada au kaka anangoma unadhani utamwacha nyumbani?
acheni kubeza bwana acheni watu wapige glass zao
wapone
 
Hao ambao wamepona inawezekana nao nivichaa au ?
mkuu nani aliyekuambia kuna mtu anapona ukimwi,presha,sukari au kansa?kama ni kweli wamepona basi waliopona(haswa viongozi) wafanyiwe uchunguzi wa kidaktari kuonyesha hivyo na majibu yawekwe hadharani.
 
kuna watu wao ni reactionary tu! huyu babu si mganga, ni mchungaji wa kkt mstaafu na hiyo dawa ameonyeshwa na mungu kwa imani yake na it is true kua inatibu kwani hakuanza leo, ilikua na mda isipokua mioyo migumu ya watu kutoamini ndio maana haikujulikana sana ila matokeo hayafichi kwani watu polepole waliona watu wanapona na habari zikasambaa na watu ndio kama ivi wanamiminika! huo mti hata wewe ukichukua majani yake ukachemshe kwako haiponyi ni ishu ya imani kwani unapoamini dini na mungu wako ulimuona au iyo pepo unayoambiwa ipo unauhakika gani au ushahidi gani zaidi ya makaratasi yalioandikwa na primitive people wa medieval era ndio unayoayaamini kwa nini usiamini unachokiona?
 
mimi naibeza kazi yake!kama amegundua dawa afuate taratibu,aende muhimbili kuna kitengo cha traditional medicine aeleze jinsi inavyofanya kazi,dose,inaingiaje na kutokaje mwilini,madhara yake(side effects),inaingiliana vipi na dawa nyingine(interaction with other drugs),inatumikaje kwa makundi maalum mfano watoto,wazee au wajawazito.
Imefanyiwa majaribio lini,wapi na kwa nani?haya ni baadhi ya maswali ambayo anatakiwa kuyatolea ufafanuzi.bila kujibu maswali haya halafu unaibuka from nowhere na kujidai unatibu!huu ni ukichaa wa aina fulani.naomba apate huduma ya psychiatry haraka iwezekanavyo.

subiri uwe hoi unaumwa halafu upewe dawa tuone kama utauliza maswali yote hayo kabla ya kunywa! unataka kupona au kuwa mfamasia?
 
Mama aonekana loliondo je?dawa,je?mwarabu amekwenda kulipa fadhila kwani ana maliza wanyama,je baba alikwenda kwa njia ya kuangalia unyayo wa mtu wa kale akachukua share yake ya dawa na sasa zamu ya mama?
 
Kwa wale wataalamu wa magonjwa ya akili wanaweza kugundua mambo mawili muhimu hasa kwa jinsi anavyojieleza.
1.grandiose delusion-ile hali ya kujikweza ati yale majani lazima ayaombee yeye ili yaweze kukutibu.
2.hallucination-eti mungu alimuonyesha noti ya 500 na hivyo hii ndio bei ya matibabu.

Mwenye masikio na asikie,huyu mtu ni mgonjwa na anahitaji tiba haraka iwezekanavyo.

Hata kipindupindu anatibu, katibiwe kwanza ndo utaamini
 
Wandugu huku kwa huyu mganga anayetibu magonjwa sugu kama vile,ukimwi,kisukari,presha,kifafa nk. Ni mbaya kwani watu ni wengi maelfu kwa maelfu huku huduma muhimu kama chakula,malazi,mahali pa kujisaidia, mawasiliamo ya simu hakuna. Kupata huduma siku izi inachukua adi siku tatu.
 
Back
Top Bottom