Tram Almasi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 748
- 227
Nimeshuhudia watu wanavyofunga safari kutoka Dar kuelekea Loliondo. Nasubiri matokeo baada ya kurudi kwao maana wengine ni marafiki zetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani huyo mchungaji atafutwe haraka na wizara husika kabla mambo hajawa mabaya,watu wataambukizana hapa wakifikiri kweli dawa ipo,chonde chonde wizara fuatilieni hili,kama kweli najua kwenu si habari njema kwasababu mnapata sana kupitia misaada,ila hili wekekeni huruma mbele maslahi baadaye
Kumbe wanakale kaugonjwa.....?!
Yale yaleee! Uvumi tu! As if kuna mipaka ya maeneo ya kutembelea.
yaani we acha tu....JF sijui inageuka kuwa nini?
Kumbe wanakale kaugonjwa.....?!
Kaenda kumchukulia mkwere aache kale kaugonjwa kake ka kuanguka wakati wa kampeni
Kwa taarifa na yeye alikwisha kunywa hiyo dawa,asilimia kubwa ya viongozi wamekunywa na wameona mafanikio ingenkuwa na matatizo FFU badala kudhitbiti isitolewe sasa wanasimamia utaratibu ili kila aliyefika apate dawa.Waziri mdogo wa afya alihojiwa na alitoa baraka zake!!
Mshaurini ahamishie kituo chake Dodoma katikati ya nchi ili iwe rahisi kwa watanzania kutoka kila kona ya nchi kumfikia.
Hata wewe ni muathirtika mtarajiwa kama sio sasa!kumbe waathirika wengi anasingiziwa Liumba na Mkwere tu:hand: