Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

babu anasema mtu mwingine akichuma au chimba huo mzizi wa dawa hawezi pona mpaka achimbe yeye....sasa swali je?, kuna nguvu za giza?
 
Atakuwa ni Nabii Elia ameridi maana na yeye alitibu ukoma kwa kuzama tuu majini
 
Jamani mimi mpaka sasa siamini kuhusu huyo mganga,
maana nakumbuka mwaka jana uliibuka uvumi kwamba dawa ya UKIMWI imepatikana,baadhi ya vyombo vya habari vilitangaza habari hiyo,.waziri mmoja alinukuliwa na vyombo vya habari akisema "tunamshukuru Mungu dawa ya Ukimwi kupatikana"
Lakini baadae ikagundulika hakuna dawa ya ukimwi bali ni dawa ya kusaidia kinga ya mwili kupambana na ukimwi,
sasa huyu wa loliondo tunasubiri matokeo.
 
babu anasema mtu mwingine akichuma au chimba huo mzizi wa dawa hawezi pona mpaka achimbe yeye....sasa swali je?, kuna nguvu za giza?

why nguvu za giza?...kama ni nguvu za mwanga je?...maana kama gizani mambo yanatendeka basi pia kwenye mwanga yanatendeka mengi zaidi
 
leo ubungo mabasi ya kwenda arusha yalikua hayashikiki watu wengi sana kumbe wana maradhi sugu!mungu aweke baraka wapone watu wote
 
Mti huo haukauki hayo majani ya dawa au vipi na ukame wote huu?

Majani hayo yanayongólewa kwa spidi hiyo hakuna mti utakaosurvive.
 
kama nikweli serikali inangoja nn wakamsapoti mana anamanufaa sana kwa taifa na dunia
 
BABU AMESHAWAHAKIKISHIA WATU WALIOPO HAPO kwenye mafoleni kuwa HAKUNA ATAKAYEZIDIWA, wala kufa katika himaya yake hiyo...maana aliona wengine wakikata tamaa ya kupata dawa, na kuhofia maisha yao.
Na ukweli ni huo kuwa hakuna baya lilijiri maeneo hayo...
Wanafikishwa hapo watu ambao walikuwa wanalishwa na kuvalishwa, lakini wanaondoka wakiwa wanapiga hadithi...

mkuu najua ww rahisi kupata info ebu 2juze zaidi mkuu
 
BABU AMESHAWAHAKIKISHIA WATU WALIOPO HAPO kwenye mafoleni kuwa HAKUNA ATAKAYEZIDIWA, wala kufa katika himaya yake hiyo...maana aliona wengine wakikata tamaa ya kupata dawa, na kuhofia maisha yao.
Na ukweli ni huo kuwa hakuna baya lilijiri maeneo hayo...
Wanafikishwa hapo watu ambao walikuwa wanalishwa na kuvalishwa, lakini wanaondoka wakiwa wanapiga hadithi...

PJ penye wengi hapakosi mengi. Juzi alhamisi gari moja lilikuwa linarudi nyuma na kumgonga mtoto mdogo na kufa papo hapo. Jana ijumaa mgonjwa mmoja aliyekuwa amezidiwa sana alikufa kabla ya kuonana na Mchungaji. Penye neema kuna maafa pia.
 
Ni kweli ndugu zangu,Mm aunt yangu last week ameenda huko kutibu HIV,Juzi na jana amekwenda hospital yupo safi/negative kabisa.Sharti akipata tena no kupona.
 
Dear kwani kuna dini inayoitwa mpe Yesu maisha yako? Mbona hilo ni tendo ama umeshawahi sikia kuna dini kama hiyo? We mwenzangu unadini mimi sina dini wala si amini katika yoyote ile maana hakuna iliyowahi kunisaidia na wala haitakuwepo kwani nimapata kweli nayo imeniweka huru....Imani yangu ni kwa Yesu kwamba alikuja kwa jina linaitwa Imanuel yaani Mungu pamoja nasi alipokufa na kufufuka akapewa Jina jipya lipitalo yote yaani Yesu Kristo na kwamba yeye ndiyo njia kweli na uzima wengine wote ni matapeli na akanionya nikiwaamini laana yake inakuwa juu yangu. Akaniambia nakupa msaidiza yale yote niliyokufundisha na ambayo sijakufundisha atakueleza. Akanipa na alama ya utambuzi huyu msaidizi akija ndani yangu kwamba nitanena kwa luga ambayo pass word ninayo mm na yeye tu, nikiwekea mikono wagonjwa watapona na ikitokea nikanywa kitu chenye sumu bila kujua sinta pata madhara yeyote hiyo ni pamoja na mbu wakining'ata malaria inakufa ndani kwa ndani, damu yangu ikigusa UKIMWI bila kuvunja amri yake unatimua mbio kabla sijagundua kama umeingia mwili; kansa ikijaribu kuleta umbea inapigwa na radi...To be frank I am enjoying all these for the past seven years hata panadol sikumbuki ladha yake; mtoto wa mwisho nilijifungua kama mwanamke wa kiebrania bila labour pain manesi na madaktari waka panic kwa hofu, mchawi akinikaribia yeye mwenyewe anaanza kujieleza kabla ya mimi kuongea etc basi nikagundua kumbe wenye dini wanatutapeli tu, maana nimekaa kwenye dini for 28 years bado the devil was kicking me left and right like its toy. Dear you can enjoy heaven on earth kwa garama tu ya kuutafuta ukweli diligently with a humble heart that you listen to all and make your own experiments to proove if it works....
Wagonjwa wako wengi humu! Nenda kwa babu ukapate dawa! hii ni ile itokayo baada ya kukoboa mahindi! Inaitwaje vile?
 
imani. Na si ajabu na ni kweli. Kama huamini waulize viongozi wako wa juu serikalini akiwemo pm na presdaa.

Au hata yule kamanda aliyemzawadia hg wake mtoto maana yeye karudi huko kwa mara ya pili kuwaleta ndugu zake.
 
Ni kweli ndugu zangu,Mm aunt yangu last week ameenda huko kutibu HIV,Juzi na jana amekwenda hospital yupo safi/negative kabisa.Sharti akipata tena no kupona.

waaaoow, really!!! seeing is believing, but faith conquers all! wishing all the best to those on their way to the reverend in loliondo!
 
Back
Top Bottom