MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,308
Unajua tusimlaumu mtu yeyote kuhusu ili .Huyu marehemu Mungu alikuwa kabisa anamtaka na alijua kama akipata dawa atapona wakati siku zake zimeisha . Basi Mungu akaamua kuchelewesha na kumchukua mtu wake. Mungu akikuhitaji ni vigumu kukwepa hata kama una kila kitu.