Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,133
kwani ni lazima atoe huduma?
Atatoa kwa watakaoenda kwake.
Kama hutaki usiende huko.
Btw. Kuna haja ya kufanya dharura kuweka mazingira safi na salama kwa wahitaji wa huduma hiyo.
Kama ni ushirikina au la nadhani wanopata tiba hiyo na kupona hawatakuelewa, kwao kupona ni muhimu zaidi.
Get It very clear ..!!!
Sijasema tiba wala huduma ni superstious..
LAKINI
Nimesema .....KAMA HAIHAMISHIKI ......
Tuelezwe ni kwa nini? Kama haina maelezo ..ndio nikauuliza ..Is it Superstisous?
Kama sio...Ihamishwe kurahisisha huduma yenyewe..sijaipinga!
Huduma itolewe ..lakini irahisishwe...kwanini Tanzania yote ..ifuate mtu mmoja katikati porini huko??