usisahau kuwa huko aliko pia ni arusha labda useme ahamie mjini kama ingewezekana kitu ambacho nadhani itakuwa hadithi,,,,
Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI
labda ana mimba lol
Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI
Isingekua ufisadi unaotumaliza basi Bongo ingepata bonge la Title, swali moja tu, vp redio Khery wanaendelea kubisha? ndio vizuri wasitumalizie dawa!!!! sio jini lile ni Mungu!!!!
he!! We una lako jambo na huna muda mrefu hapa, we si upo kule unatetea gazeti la ANNUR? Kwanza ushajiandaa kesho kwenda kuandamana?
wanaandamana kwenda wapi hawa ivuga?
acha udini. Lkn hata yesu hakuwahi kuwahdaa wanachi kama anavyofanya babu,. Baya zaidi hata majitu yaliosoma udms wakiw na maprof lkn kwa kuwa wakiristo wanaingia kwenye tego huu.
Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. TAYARI Jjamaa, ndugu na marafiki wa karibu wanafanya harakati za kumkimbiza muhimbi ili aangalie nini kimezidi. lkn anavyosmea yeye mwenyewe kwamba maumivu hayo yamekuja baaa ya kunywa dawa hiyo.haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI.