nsimba
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 782
- 55
Haya mambo ya imani ni magumu sana kwa sababu kila mtu ana tafsiri yake juu ya maandiko ndo maana kuna wengine wanapinga kwa nguvu hiyo tiba ya babu, Wengine wanadiriki hata kusema ni nabii wa uongo. Kwa hiyo inategemea inaweza kuwa kweli au si kweli nani ajuaye?
Ni kweli mkuu!! Mambo ya imani ni magumu sana, maana ni personal and intenal feelings!!! "Aaminiye na atapona" ndo ujumbe wa Bwana yesu!! Sasa hapa haiendani na scientifi proof!! Kwa hiyo tunayaacha kwa kila aaminiye maana walioamini wameponywa, na wasio amini bado wamebakia na mashaka!! Yote tunamuachia MUNGU, maana anakusudi lake.