Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Peoplessssssssssss naona tunajenga hoja zenye mashiko na kuimarisha chama.
 
.....Lakini pia hakuna mtu aliekufa kutokana na dawa hio, hivyo kama haiponyeshi kama mnavyotaka ushahidi tukubaliena pia kuwa hio sawa sio sumu kama wizara ilivyowahi kuripoti!!!!

Kufa sio Tatizo, maana hakuna dawa ya kifo kama siku ya kufa kwako imefika. Na haijalishi uwe umepata kikombe au la, uwe hospital au nyumbani. So tusijadili kama watu wanakufa au la!!!!!!!!Hapa tutafute wanaopona. Au labda watuambie kuwa moja ya masharti ya dawa hiyo ni kutosema hadharani kuwa umepona, na ukisema basi ugonjwa unakurudia!!!!. Ndio Maana Lyatonga alikataa kusema kama amepona au la na akasema ni kazi ya DR wake kusema kama amepona au la!!!
 
Kwa babu unaambiwa imani yako ndio itakayokuponya sio mambo ya utafiti kwani imani inautafiti jamani? kama ww huamini haina haja ya kwenda kwa sababu ata ukienda kunywa haikuponyi.
 
nani awezaye leta ushahidi wa kisayansi kuwa alikuwa na MAJINI/MAPEPO na sasa hayapo tena?
 
Mwarubaini, 3M, etc vilivuma Vikaisha. Mwarubaini ukaua watu kwa SJS. Kuna kuua wazee kwa singizio la uchawi, kuuwa albino, kobe anayeongea, na sasa kikombe cha babu, yote ni imani potofu au mass hysteria inayokuja wakati wa community stress kama njaa, ufisadi na kadhalika. Sikitiko ni kuona wasomi na viongozi wanashiriki
 
Bottom line ni watu waliokunywa KUPONA aMA LA!...Mengineyo ni maneno mbofumbofu!
Tunachotakiwa sasa ni kucross-check iwapo vipimo vya hospitali vinaonyesha hawana magonjwa yao !
 
Bottom line ni watu waliokunywa KUPONA aMA LA!...Mengineyo ni maneno mbofumbofu!
Tunachotakiwa sasa ni kucross-check iwapo vipimo vya hospitali vinaonyesha hawana magonjwa yao !

Ni jana tu friend of mine ni daktari pale St Elizabeth hospital Arusha, amenipigia simu akisikitika wagonjwa wake aliokuwa anawatibu kwa ARVs waliacha dawa wakaenda kwa babu kunywa kikombe, wamerudi wakiwa hoi, mmoja ameshafariki, wanne wanafanyiwa resuscitation hali tete, wote amewapima they are still positive with very low CD4 count. Labda hawa hawakuwa na Imani au labda bado dawa inafanya kazi. Ninachosikitika ni watu kuacha dawa kwani matokeo yake wadudu watajenga usugu na tutapata resistant strains za HIV ambazo hatutaweza kuzihandle. Kingine it will take time watu kurealize kwamba wanapotea na wengi tutakuwa tumeshawapoteza.

Wajitokeze hadharani watu na vipimo vyao vya awali vya kuonyesha kwamba walikuwa positive and they are negative after babu's cup. Tunataka evidence vingenevyo people please nendeni kwa babu lakini msithubutu kuacha dawa za hospitali.
 
Vincent nakuunga mkono.Swali la kizushi itakuwaje pale ambapo watu wote waliohudhuria lets say na kupona babu akiwaambia
"all of a sudden" watakufa kwa utaratibu ule ule waliotumia kupanga foleni!!
 
nani awezaye leta ushahidi wa kisayansi kuwa alikuwa na MAJINI/MAPEPO na sasa hayapo tena?

Suala siyo majini wala mapepo suala hapa ni kuthibitisha kuwa mtu alikuwa na ukimwi/kansa/kisukari na baada ya kupata kikombe amepona na imethibitishwa hivyo na dr kwa vipimo na siyo kujua composition ya dawa iliyonywewa. Magonjwa hayo yote yanapimika kisayansi. Tunataka kujua input na output na siyo process. Wacha process ifanyike in the black box lakini output ithibitishwe.
 
Habari zakuaminika zinapasha kuwa baadhi ya wakaz wa mbeya wamejiunda na kuwa kundi kubwa kwaajili ya safari ya loliondo! Safari hiyo imepata ahueni baada ya matajiri wa mbeya kujitolea mafuta ya kwenda na kurudi
 
WApendwa wana JF, Naomba kama kuna mtu aliyekuwa anasumbuliwa na saratani na akabahatika kupata tiba kwa babu Loliondo, atuthibishie kuwa kwa sasa hajambo saana. Anaweza kutupatia pia ushahidi wa kisayansi kuunga mkono ushuhuda wake. Ushahidi huo unaweza kuwa ni picha za X-rayau report ya Daktari ya kuthibitisha kuwa kweli amepona au kuna unafuu mkubwa wa ama kulimit kusambaa kwa saratani au kuimaliza kabisa. Jamani naomba hili nikijua kuwa tiba hii inafanya kazi kiimani zaidi. Hivyo tunaomba ushahidi na sisi wengine tuweze kuamini. So far sijasikia au kuona ushahidi wa kisayansi kuthibitisha uhakika wa tiba ya babu zaidi ya shuhuda za maneno tu bila evidence.

ushahidi wa kisayansi siyo rahisi hivyo kwani babu kasema kuna magonjwa yanaisha mwilini taratibu kutegemea na imani ya mtu.
swala la kiimani ni vigumu kupata ushahidi wake ki sayansi. ila watu tunakutana nao wanatoka kwa babu wanasema wana hali nzuri zaidi na wanahisi wamepona.
wewe nenda kanywe kikombe ukisubili mpaka ushahidi wa kisayansi it will be too late na dawa itakuwa imeisha
 
Imani yako inakuponya na si kingine, mwenye imani kuwa anakunywa kikombe cha dawa na atatibika sawa, asiye na imani sawa..hakuna anayelazimisha watu kwenda huko na huyo babu hajawaita...

Hata hivyo kuna dawa ya vikombe viwili rombo....sijui ni double dose ...
 
wewe nenda kanywe kikombe ukisubili mpaka ushahidi wa kisayansi it will be too late na dawa itakuwa imeisha

Mzee huu ushauri unatoka katika safu ya moyo kabisa, ningekuwa mimi kesho asubuhi naamkia loliondo.
 
Nenda wewe na maradhi yako halafu uje utueleze umepona nini na dr wako athibitishe!

ndugu yangu huyu mtu anahitaji evidence ili awa na uhakika! Jibu ulilotoa ni sahihi kweli? Acha hasira mtu anapouliza swali. Kama huna jibu ungenyamaza tu. Sasa amekosea wapi kuuliza hilo swali? Kwani wewe umeenda? Wapo watu waliokwenda ndio wana jibu. I've seen no mistake in this question.
 
Nenda wewe na maradhi yako halafu uje utueleze umepona nini na dr wako athibitishe!

ndugu yangu huyu mtu anahitaji evidence ili awa na uhakika! Jibu ulilotoa ni sahihi kweli? Acha hasira mtu anapouliza swali. Kama huna jibu ungenyamaza tu. Sasa amekosea wapi kuuliza hilo swali? Kwani wewe umeenda? Wapo watu waliokwenda ndio wana jibu. I've seen no mistake in this question.
 
hii dawa sidhani inatibu,watu wako desperate,they want to believe somewhere outhere kuna cure ya matatizoyao,this sense of desperation is really bad wakija kutoka kny hio denial na kuface bitter truth....hapo ndio itakapokuwa painful experience.....serikali nayo inaonekana kubariki huu upuuzi sijui inafurahia wananchi wake watakapoface hio psychological torture????? mnh:smash::smash::smash:
 
Back
Top Bottom