Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema hivyo ila kutokana na wingi wa watu amesema ataendelea na doziiiiiiiiiiiiiiiiiiijamani kuna tetesi eti babu anasitisha huduma coz ya kwaresma.hii iko vp,maana nilijiandaa ku mvisit this week.
wewe uanasumbuliwa na ugonjwa gani? au kutalii
Umejiandaa?? Kwa chakula, maradhi, na kila kitu ndugu hakuendeki huko.
Uwe umeomba ruhusa wiki mbili wenzio wamekwenda na kurudi kapa wanawahi kazini
Asante Desidii nimeomba ruhusa wiki 1 sio zaidi
huko loliondo kuna tofauti gani na kwa shehe Yahya?
Sijui kama itatosha maana nasikia kuna watu wanasiku tano hawajahudumiwa.
Maji kilimanjaro ya 500 nasikia ni 2500 so upo hapo Bidada??
Kazi imeanza!!??
Sijui kama itatosha maana nasikia kuna watu wanasiku tano hawajahudumiwa.
Maji kilimanjaro ya 500 nasikia ni 2500 so upo hapo Bidada??
kuna jirani yangu alikwenda thursday amerudi jumamosi na amepata dawa
Nakuombea uende salama na urudi salama dear ukirudi utupatie taarifa yaliyojiri huko
Anagawa majiniKwani shehe yahya anatoa huduma ipi? Mhh mbona kwake hakuna foleni?
huko loliondo kuna tofauti gani na kwa shehe Yahya?
Anagawa majini[/QUOTE
AMEKUPA MANGAPI?
anagawa majini