babuwaloliondo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 378
- 174
oooh mara hii wameshawasili, walinitumia email juzi, ila itabidi wakae kwenye foleni kwani huduma natoa kwa kufuata utaratibu si watokako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumechoka na hiz habari za babu,kwanza hii thread sio mahali pake huku,pse mod deal na hizi tread za babu
sema nimechoka... usijumuishe mioyo ya watu kwenye fikira zako unazozijua wewe ..... aliyetoa mada ana haki kuliko upupu unaoeneza
.
Hivi yule wa Yerusalemu sii ndie huyu wa Africa eeeh?
Ukitaka kuwasiliana na huyu wa Yerusalemu inakulazimu kwenda hija huko huko au;
.
mimi kwa babu hunipeleki hata kwa winchi.
manabii walikuwa wanatoka na kuwatangazia watu kila 'walipooteshwa na Mungu'. Rejea Yona 3:1---
huyu babu anasema kaoteshwa, lakini mbona hatukumsikia akitangaza?
kwa mtizamo huo, mimi namchukulia babu kama 'a new sangoma in Tanzania'.
tumechoka na hiz habari za babu,kwanza hii thread sio mahali pake huku,pse mod deal na hizi tread za babu
Waliokunywa dawa ya babu kufariki baada ya miezi sita tu ?Eti ni kweli jamani kwamba wale wote waliokunywa dawa ya babu kama ni mafisadi watakufa ndani ya miezi sita hadi mwaka mmoja tu ?Ninauliza maana na mimi ni fisadi pia. Ili nifanye uamuzi wa kuidharau kama kipindi chake cha uhai ni kifupi hivyo !mbunge,ccm
Mkuu huyu jamaa ni kweli ameyasema hayo maneno.imani ndugu... Na dhambi kama uazo nyingi huponi
' but we jamaa tupe source or link
I have read the General's Story from the beggining to the end. What i have discovered is that most Tanzanians write things by assumptions. THE WORD RESEARCH to us Tanzanians is quite ambiguous word. This is what is also facing mr Ulimwengu. ''What testimony is he looking for if thousands and thousands of people are scrambleling for KIKOMBE every day!!! I guese he need to conduct research in order to satisfy himselves. I believe in one way or another Mr Ulimwengu has a relative or neighbour saffering from one of the deseases mentioned by people and MEDIAs that they can be cured at BABUs place. I advice him there fore to take somebody to BABus home to get the MEDICs and there after wait to see the results.
NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK OUT???
Hivi wewe unajua maandiko au unachomekea tu chochote kinachokuja kichwani? Hii ndiyo Yona 3:1 (Jonah 3:1-2) Then the word of the Lord came to Jonah a second time: 2 "Go to the great city of Nineveh and proclaim to it the message I give you."
Ulitaka babu ahubiri habari ya hukumu au nini? Kina Musa, Elia, Elisha na wengine walioponya hawakuwa manabii? Musa aliponya kwa watu wote kuangalia nyoka wa dhahabu aliyetundikwa juu ya mti. Au hili unalionaje? Kama huna cha kusema nyamaza na mwache babu aendelee na kazi aliyotumwa.
Yeye kansa yake ya ufisadi aiwezi kipona!
anatutafuta huyu anatutafuta, mimba zenu mnaleta hapaTaarifa umeipata chumbani kwako ukiwa na GF wako halafu unakuja kutuletea hapa...hebu toa upupu wako hapa