Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

Binaadam tumepewa akili nyingi lakini Mungu anataka kitu cha kwanza tutumie akili hizo kumjua yeye muumba

Kwa kutumia akili huo mwili wako tu unathibitisha uwepo wa Mungu maana wewe mwenyewe haufahamu yani ukiambiwa hapo nionyeshe utumbo wako mdogo unanzia wapi na unaishia wapi huwezi kuonyesha
Ukiambiwa hapo hebu gusa kongosho lako huwezi kuligusa linafanyaje kazi hujui

Lakini pia hapo ulipo unatembea na kunyesi kimeja mwilini mwako na kina harufu mbaya sana lakini wewe mwenyewe harufuyake huisiki wala uliye karibu nayo pia hasiki kwa nini kimehifadhiwa vizuri katika mfumo wake na ukikitoa hapo mbele ya wenzako watakukimbia sasa

Lakini pia unakula chakula ambacho pia ni kiumbe kilicho umbwa na Mungu wewe mwenyewe hauna hata uwezo wa kuumba hata punje moja ya mchele au mtama ili ule wala huna uwezo wa kuumba maji ili unywe

Lakini pia unaishi katika aridhi ambayo hata ujui imetandikwa lini na kuna Jua linakumulika na kukupa joto na usiku kuna mwezi una angaza haya yote Mungu anasema yanathibitisha uwepo wake ila kwa wenye akili

Lakini pia Mungu hajamkataza binaadam kwenda angani kumtafuta Mungu yupo wapi kama unaweza nenda utayaona makazi yake
Katika Quran Mungu anasema mbingu zipo 7 na akasema ameipamba mbingu ya karibu kwa nyota kwa hiyo katika hizo saba hi tunayoiona sisi imepambwa kwa nyota haipo ukishazivuka hizo ndio unainga katika ARISH ya mwenyezi Mungu

Sasa nyinyi wapagani mnaosema hakuna Mungu nendeni huko mkazunguke kote kisha mrudi duniani mtuambie kuwa hamkuona kitu kwa hiyo Mungu hayupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majibu kama haya ndiyo aliyoyakataa jamaa hapo juu

Hatujawahi kumuona mungu ameshuka akasema kua fuateni maneno yangu katika kitabu flani, na ndio maana vitabu vimekua vingi huku vikipingana kuonesha kua havijaandika neno la mungu mmoja ambaye amekusudiwa

Mbona mi naona vitabu vyote vimeandikwa na binadamu na ndio maana vinapishana halafu tena vina mkanganyiko ndani yake yani vinajipinga vyenyewe, hapo tu inaonesha kua vimeandikwa na binadamu ambao umesema kua ni vyakipagani

Sent using unknown device
Umesema hujawahi kumuona mungu ameshuka kukuambia sawa
Sasa wewe usisubiri hadi ashuke nenda wewe mwenyewe huko angani utamuona maana hujakatazwa kuenda huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio uende sasa huku uziguse nyota kisha uendelee mbele ukangalie kama kweli mungu yupo hau hayupo uje utupe jibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona waliofika kule wamesema kua hakuna mungu..

Hizo zilikua danganya toto walizoambiwa wazee wazamani kua kuna mtu yuko angani kwenye nyota mtu huyo anaitwa mungu kwasababu hakukua na teknolojia ya kuweza kufika huko angani wazee walibidi kukubali. Sasa saizi naona nawewe unataka uniletee matango ppri walolishwa wazee wa miaka hiyo eti kwenye nyota utamkuta mungu

Mbona nyota zinaonekana hata ukiwa chini, je inamaana mungu ni mdogo kuzidi nyota na ndio maan zimemficha?

Sent using unknown device
 
Mbona waliofika kule wamesema kua hakuna mungu..

Hizo zilikua danganya toto walizoambiwa wazee wazamani kua kuna mtu yuko angani kwenye nyota mtu huyo anaitwa mungu kwasababu hakukua na teknolojia ya kuweza kufika huko angani wazee walibidi kukubali. Sasa saizi naona nawewe unataka uniletee matango ppri walolishwa wazee wa miaka hiyo eti kwenye nyota utamkuta mungu

Mbona nyota zinaonekana hata ukiwa chini, je inamaana mungu ni mdogo kuzidi nyota na ndio maan zimemficha?

Sent using unknown device
Sio kama sijui najua kuwa huwezi kufika na hakuna Binaadam anaeweza kufika nilitaka nikuonyeshe udhaifu ulio nao wewe kama binaadam na ndivyo mungu alivyo kuumba angetaka akupe uwezo wa kufika huko ungefika kama alivyo wapa uwezo malaika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kama sijui najua kuwa huwezi kufika na hakuna Binaadam anaeweza kufika nilitaka nikuonyeshe udhaifu ulio nao wewe kama binaadam na ndivyo mungu alivyo kuumba angetaka akupe uwezo wa kufika huko ungefika kama alivyo wapa uwezo malaika

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo kwasababu umejua sina uwezo wa kufika huko ndio umetumia kama nyenzo ya kunilisha matango pori kunidanganya sio??

Sent using unknown device
 
Kwaiyo kwasababu umejua sina uwezo wa kufika huko ndio umetumia kama nyenzo ya kunilisha matango pori kunidanganya sio??

Sent using unknown device
Ni mtume Muhammad peke ndio kiumbe aliyeweza kuenda huko na kurudi kwa usiku mmoja ila ni kwa uwezo wa mwenyezi Mungu sio kwa uwezo wake
 
Kwaiyo kwasababu umejua sina uwezo wa kufika huko ndio umetumia kama nyenzo ya kunilisha matango pori kunidanganya sio??

Sent using unknown device
Kwa kuwa huna uwezo wa kufika huko pia huwezi kuthibitisha uwepo wake kama inavyo taka akili yako wakati hiyo akili yenyewe alikupa yeye
Na Mungu alisha thibitisha uwepo wake katika njia mbali mbali

Hata Firauni alipinga uwepo wa Mungu ile bahari ilipo achana Mussa na watu wake akapita na yeye alipotaka kupita maji yakaungana na akashindwa kuyazuia hapo ndipo akakubali kuwa Mungu yupo lakini ilikuwa to let
Kwa hiyo watu wa namna yako zamani Mungu alikuwa anawangamiza

Aliangamiza watu wa Nuhu
Aliangamiza watu wa Luti
Aliangamiza watu wa Sale he
Aliangamiza watu wa Adi
Aliangamiza watu wa Thamudi
Aliangamiza watu wa Madiana
Na hao watu wa Firauni

Sabu ni hiyo hiyo kama yako ya kupinga uwepo wake
 
Ni mtume Muhammad peke ndio kiumbe aliyeweza kuenda huko na kurudi kwa usiku mmoja ila ni kwa uwezo wa mwenyezi Mungu sio kwa uwezo wake
Ulimuona muhammad anavyoenda huko angani?
 
Wanajimu Waliofika huko mbona hawajatuambia kua kuna mungu??

Wamepiga picha za nyota lakini hakuna mungu aliyeonekana kwenye hizo picha
Kwa kuwa huna uwezo wa kufika huko pia huwezi kuthibitisha uwepo wake kama inavyo taka akili yako wakati hiyo akili yenyewe alikupa yeye
Na Mungu alisha thibitisha uwepo wake katika njia mbali mbali

Hata Firauni alipinga uwepo wa Mungu ile bahari ilipo achana Mussa na watu wake akapita na yeye alipotaka kupita maji yakaungana na akashindwa kuyazuia hapo ndipo akakubali kuwa Mungu yupo lakini ilikuwa to let
Kwa hiyo watu wa namna yako zamani Mungu alikuwa anawangamiza

Aliangamiza watu wa Nuhu
Aliangamiza watu wa Luti
Aliangamiza watu wa Sale he
Aliangamiza watu wa Adi
Aliangamiza watu wa Thamudi
Aliangamiza watu wa Madiana
Na hao watu wa Firauni

Sabu ni hiyo hiyo kama yako ya kupinga uwepo wake
 
Kundi la Kwanza Wanaamini Ulimwengu umekuwepo na Hauna chanzo chake.
Uwepo ndio the Supernatural power (GOD)
Kwahiyo uwepo amesababisha uwepo.
 
Back
Top Bottom