falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We umejuaje kama unasepa mawinguniHii dunia haijajiumba asee...ndio maana tarehe yako ikifika unasepa chiiiii kilele mawinguni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lazima hoja hio ipimwe Vitu vitatu
1. Logic(Mantiki)
2.Science
3.Common Sense
Unajua kwamba super natural power hapendi kuona hiyo avatar yako?Watu mtatokwa pooovu mpaka mkauke koo ..but ukweli wa kila kitu anao SUPERNATURAL POWER
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka uambiwe kuna nini kiweza cha yote?.Mlokore nae atakuambia yehova ndiye alie juu ya vyote.
yaan kila dini ina mungu wake.Huyo allah kashindwa kuthibiti mauaji ya vitoto vichanga uku syria,somalia na kule burma..
antbaraka wanaua waislam kule afrka ya kat, kule misri nako wakristo wanachinjwa kama kuku alaf uniambie kuna mungu mweza wa yote?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasukuma wanamuita Sebha,Wanyamwezi wanamuita Mlungu! Sasa unapotea wapi wewe!? Kila lugha inamjua kwa jina la lugha yake.Mlokore nae atakuambia yehova ndiye alie juu ya vyote.
yaan kila dini ina mungu wake.Huyo allah kashindwa kuthibiti mauaji ya vitoto vichanga uku syria,somalia na kule burma..
antbaraka wanaua waislam kule afrka ya kat, kule misri nako wakristo wanachinjwa kama kuku alaf uniambie kuna mungu mweza wa yote?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Allah sio yehova na yehova sio allah.Wasukuma wanamuita Sebha,Wanyamwezi wanamuita Mlungu! Sasa unapotea wapi wewe!? Kila lugha inamjua kwa jina la lugha yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unene nati Nsukuma,lakini naligasha Igunga.Allah sio yehova na yehova sio allah.
hawa n mamungu tofati kuanzia majina, vipaumbele vyao, ahadi, sifa n.k.
yehova anamtoto.
Allah hana mtoto.
yehova kaumba mtu kwa mfano wake.
Allah hafanani na chochote.
bingu ya yehova hakuna kuoa wala kuolewa{ wateure wote wanakua kama malaika}.
pepo ya allah kila mwanaume atapewa reward{zawad} ya mabikra 70,mabikra hao wana macho kama vikombe{ na allah atawapa{ wateure} nguvu ya kuwat[emoji2398]mb ¤ hao mabikira.
NB: ole nsukuma ng'wichane Okokaya bhariadi..Ale obhebhe hale kaya? [emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yehova anamtoto. Basi anawatoto wengi.Allah sio yehova na yehova sio allah.
hawa n mamungu tofati kuanzia majina, vipaumbele vyao, ahadi, sifa n.k.
yehova anamtoto.
Allah hana mtoto.
yehova kaumba mtu kwa mfano wake.
Allah hafanani na chochote.
bingu ya yehova hakuna kuoa wala kuolewa{ wateure wote wanakua kama malaika}.
pepo ya allah kila mwanaume atapewa reward{zawad} ya mabikra 70,mabikra hao wana macho kama vikombe{ na allah atawapa{ wateure} nguvu ya kuwat[emoji2398]mb ¤ hao mabikira.
NB: ole nsukuma ng'wichane Okokaya bhariadi..Ale obhebhe hale kaya? [emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu wamekutengenezea dini feki ya ukiristoAllah sio yehova na yehova sio allah.
hawa n mamungu tofati kuanzia majina, vipaumbele vyao, ahadi, sifa n.k.
yehova anamtoto.
Allah hana mtoto.
yehova kaumba mtu kwa mfano wake.
Allah hafanani na chochote.
bingu ya yehova hakuna kuoa wala kuolewa{ wateure wote wanakua kama malaika}.
pepo ya allah kila mwanaume atapewa reward{zawad} ya mabikra 70,mabikra hao wana macho kama vikombe{ na allah atawapa{ wateure} nguvu ya kuwat[emoji2398]mb ¤ hao mabikira.
NB: ole nsukuma ng'wichane Okokaya bhariadi..Ale obhebhe hale kaya? [emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika gani kama hiko kitabu unachokisemea ww sio feki...?Wazungu wamekutengenezea dini feki ya ukiristo
Wamekutengenezea kitabu cha mungu feki yani Wagaratia,wakolintho,warumi na vingine unavyo vijua
Wamekutengenezea mtume feki anaitwa Paulo
Wamekutengenezea Yesu feki sanamu lake wakakuwekea kanisani
Kwa hiyo wewe kila sehemu umeingizwa chaka kitabu peke kitakacho kuonyesha njia ya kweli kwa sasa ambacho hakija chafuliwa ni Quran
Sent using Jamii Forums mobile app
Quran 61-- 6Una uhakika gani kama hiko kitabu unachokisemea ww sio feki...?
Kama alikiandika binadamu maana yake kinaweza kuwa ni cha kutunga au kinafuata hisia za mtunzi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadam ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa na mungu na nafikiri amefanya hivi kusudi kwa kuwa ametupa akili nyingi kama angendelea kuumba viumbe wengine na sisi tupo duniani challenge ingekuwa kubwa zaidiHamna kitu kimejitokeza tuu..wakati tunasema chanzo ni MUNGU basi mnambie pia MUNGU katokea wapi? (kujibiwa kisiasa za biblia/misaafu staki) MUNGU katoka wapi?
Halafu kabla yakufkiria huu ulimwengu tungepata solution kwanza ya MUNGU ni nani na katokea wapi,tukishajua na kuelewa kuhusu MUNGU hivi vingine vitakuja ila huwezi anza waza mtoto huyu ni kabila gani wakati hujui kabila la baba ake.
Mbona jamaa swali lake lipo clear sijajua unakwamia wapi?Binadam ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa na mungu na nafikiri amefanya hivi kusudi kwa kuwa ametupa akili nyingi kama angendelea kuumba viumbe wengine na sisi tupo duniani challenge ingekuwa kubwa zaidi
Ila wewe unaesema kila kitu kimezuka hakuna muumba kwa nini haviendelei kuzuka viumbe vingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umeshindwa kuamini uwepo wa Mungu kwa maneno yake Mungu mwenyewe kupitia vitabu vyake na mitume yake and then unataka uamini uwepo wa Mungu kupitia vitabu walivyo tunga binaadam wenzako huo ni upaganiMbona jamaa swali lake lipo clear sijajua unakwamia wapi?
Katoa maelezo akihitaji ufafanuzi wa kina na amejikita katika kuelewa sio kukeremishwa kitutusa
Amesema ikiwa hakuna kitu kilichojitokeza tu pasipo kua na mletaji basi hata dhana ya huyo mungu kusema ndiye aliyeumba ulimwengu pamoja na viumbe vyote naye atahitaji mletaji kwasababu yupo. Na amesisitiza kua umpe fact nje ya vitabu vya dini ambavyo hata mimi siviamini in short we need extra evidence out of religion books
Sent using unknown device
Kama umeshindwa kuamini uwepo wa Mungu kwa maneno yake Mungu mwenyewe kupitia vitabu vyake na mitume yake and then unataka uamini uwepo wa Mungu kupitia vitabu walivyo tunga binaadam wenzako huo ni upagani
Sent using Jamii Forums mobile app