Mjadala kuhusu handsome boyz na sura personal

Mjadala kuhusu handsome boyz na sura personal

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Kuna mada niliipitia hapa jf siku za hivi karibuni. Pamoja na maelezo mengi ila hoja mahususi ilikua inahusu favour ambayo wanaipata handsome boyz katika masuala mbalimbali.

Wenye sura personal walipandisha jazba sana na mlengo wa hoja zao ulikua ni kufungamanisha uhandsome na ushoga na kufungamanisha sura personal na uhodali wa kutafuta hela. Mambo ambayo kimsingi hayana mahusiano.

Kuna mahandsome ambao ni mashoga, masikini na matajiri vile vile kuna wenye sura personal ambao ni mashoga, masikini na matajiri.

Nasimama na mtoa mada. Bila kujali vigezo vingine, handsome boyz wanapata favour kwenye maeneo mengi sana.

I rest my case.
 
Kujisifu kuwa handsome soon🇹🇿
FB_IMG_1717907496744.jpg
 
Mm nina swali ila msinielewe vibaya hivi huu muda mnapata wapi et sura personal na handsome boys hata kwa first sight binafsi kuwatofautisha hao watu uwa sijui i really i appreciate every nigga around me as a men tuache hizi mambo.
 
Mm nina swali ila msinielewe vibaya hivi huu muda mnapata wapi et sura personal na handsome boys hata kwa first sight binafsi kuwatofautisha hao watu uwa sijui i really i appreciate every nigga around me as a men tuache hizi mambo.
BInadamu hatuwezi kufanana mkuu. Ni vyema tukakubali kutokukubaliana kuliko kulazimisha wote tuwe na mtazamo mmoja.
 
BInadamu hatuwezi kufanana mkuu. Ni vyema tukakubali kutokukubaliana kuliko kulazimisha wote tuwe na mtazamo mmoja.
Seriously kuna mambo nadhani ni hulka ya mtu tu moja wapo ni kama hili kuona kasoro zakimuonekano kwa mwenzako tena za asili kabisa ni swala lakukemea kabisa hizi ni hulka za kibinadamu tu mkuu.
 
Back
Top Bottom