Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FIKIRI KABLA YA KUTENDA zingatia sana maneno ya Wahenga mkuu.Njoo geto upate jibu
Zingatio; Akikisha unajitawaza vizuri
Kabisa mkuu ikifika muda mtoto wa kiume kwanza ukaanza kujua mwanaume mwenzio ni mzuri au mbaya aisee kuna haja yakujichunguza.Kunywa soda nakuja kulipa!
Wanaume kuna mada/vitu sio vya kujadili hata kufikiria
Urembo uzuri huyu handsome huyu sio, hivi vitu tuachieni watoto wa kike
ME karibu.Kwa mwandiko huu wewe ni ME au KE?
AiseeME karibu.
Sura personal acheni kuzuga bhana. Kwamba wewe ukiwekewa picha za cristiano ronaldo na ngolo kante ukaulizwa nani handsome hauwezi kujua jibu?Kabisa mkuu ikifika muda mtoto wa kiume kwanza ukaanza kujua mwanaume mwenzio ni mzuri au mbaya aisee kuna haja yakujichunguza.
Hapo unalazimisha akili yangu kufanyia kazi kitu ambacho sijawahi kukifikiria na sijakifikiria pia.Sura personal acheni kuzuga bhana. Kwamba wewe ukiwekewa picha za cristiano ronaldo na ngolo kante ukaulizwa nani handsome hauwezi kujua jibu?
Usiamini sana kinachosemwa na wanawake hao hawana msimamo wa moja kwa moja watakaousimamia siku zote. Hapa anaweza akakwambia uhandsome sio deal anataka mwanaume wa maana ila kesho akajitokeza uyo mwanaume wa maana na akamkataa akamchagua handsome, mnalamba lips na kijana fulani wa ovyo ovyo. Usiamini sana kinachosemwa na mwanamkeKabisa mkuu ikifika muda mtoto wa kiume kwanza ukaanza kujua mwanaume mwenzio ni mzuri au mbaya aisee kuna haja yakujichunguza.
Ni kweliMwanaume hasifiwi sura - wanaume TMK
Nadhan hilo swali lako lingeenda kwa mtoa uzi mana yeye mana ametarget jinsia zote na hoja yangu imejieleza wazi ndiyo mana nikamalizia kwa kusema " as a man tuache hizi mambo"Aisee
Unajifanya mstaarabu tu hapa uonekane mtu poa ila tofauti ya handsome na sura personal unaijua vizuri kabisaHapo unalazimisha akili yangu kufanyia kazi kitu ambacho sijawahi kukifikiria na sijakifikiria pia.
imani yangu binafsi inaamini hivyo ila si kwa sababu ya mwanamke mkuu.Usiamini sana kinachosemwa na wanawake hao hawana msimamo wa moja kwa moja watakaousimamia siku zote. Hapa anaweza akakwambia uhandsome sio deal anataka mwanaume wa maana ila kesho akajitokeza uyo mwanaume wa maana na akamkataa akamchagua handsome, mnalamba lips na kijana fulani wa ovyo ovyo. Usiamini sana kinachosemwa na mwanamke
SawaIman
imani yangu binafsi inaamini hivyo ila si kwa sababu ya mwanamke mkuu.
Hao wanaume kama mabinti ulishawahi kuwapa ndogo wakashindwa kupiga?Wanaume kama mabinti.
Mkuu vitu vingine acha nature ifanye kazi mambo mengine tuwaachie kina dada waamue tu zaidi naona unaongelea mitazamo yako kwa kuilazimisha iote ndani yangu.Unajifanya mstaarabu tu hapa uonekane mtu poa ila tofauti ya handsome na sura personal unaijua vizuri kabisa
Sawa. Asante kwa ku-commentMkuu vitu vingine acha nature ifanye kazi mambo mengine tuwaachie kina dada waamue tu zaidi naona unaongelea mitazamo yako kwa kuilazimisha ndani iote ndani yangu.