Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
- #21
Unataka kusemajeU Natafuta Ajira gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusemajeU Natafuta Ajira gani mkuu?
SawaUshafeli tayari mpaka hapo.!
Kunywa soda nakuja kulipa!Mm nina swali ila msinielewe vibaya hivi huu muda mnapata wapi et sura personal na handsome boys hata kwa first sight binafsi kuwatofautisha hao watu uwa sijui i really i appreciate every nigga around me as a men tuache hizi mambo.
Ngoja tuone ila nadhani ipo shida mahali, Wanajichubua sanaKuna mada niliipitia hapa jf siku za hivi karibuni. Pamoja na maelezo mengi ila hoja mahususi ilikua inahusu favour ambayo wanaipata handsome boyz katika masuala mbalimbali.
Wenye sura personal walipandisha jazba sana na mlengo wa hoja zao ulikua ni kufungamanisha uhandsome na ushoga na kufungamanisha sura personal na uhodali wa kutafuta hela. Mambo ambayo kimsingi hayana mahusiano.
Kuna mahandsome ambao ni mashoga, masikini na matajiri vile vile kuna wenye sura personal ambao ni mashoga, masikini na matajiri.
Nasimama na mtoa mada. Bila kujali vigezo vingine, handsome boyz wanapata favour kwenye maeneo mengi sana.
I rest my case.
Ngoja tuone ila nadhani ipo shida mahali, Sahihi kabisaKunywa soda nakuja kulipa!
Wanaume kuna mada/vitu sio vya kujadili hata kufikiria
Urembo uzuri huyu handsome huyu sio, hivi vitu tuachieni watoto wa kike
Wanasingiziwa tu mkuuNgoja tuone ila nadhani ipo shida mahali, Wanajichubua sana
Sijui kama ni kweliWanasingiziwa tu mkuu
Mambo ya sizitaki mbichi hizi ndio tabia yetu wabongo.Sijui kama ni kweli
sorry mtoa maada kwani niwakiume?Kunywa soda nakuja kulipa!
Wanaume kuna mada/vitu sio vya kujadili hata kufikiria
Urembo uzuri huyu handsome huyu sio, hivi vitu tuachieni watoto wa kike
Atakuja kukujibusorry mtoa maada kwani niwakiume?
Unamaanisha watoto wa Mama Watoto Mchele Mchele makeup kwa wingi vipodozi 200 wapaka shedo na lip shine alafu wanang'ata midomo,handsome boyz
Na Wewe atakujibu Ila nyoa kwanza HUO msitu hapo CHINIAtakuja kukujibu
Mm nina swali ila msinielewe vibaya hivi huu muda mnapata wapi et sura personal na handsome boys hata kwa first sight binafsi kuwatofautisha hao watu uwa sijui i really i appreciate every nigga around me as a men tuache hizi mambo.
ungeweza kuwasilisha hoja yako hapo aya ya pili bila kuwadhihaki wengine hapo aya ya kwanzaUnamaanisha watoto wa Mama Watoto Mchele Mchele makeup kwa wingi vipodozi 200 wapaka shedo na lip shine alafu wanang'ata midomo,
Hakuna favour wala nini ni exposure tu uwe na Sura ya Mama au uwe na Sura ya Baba, how do you expose yourself?
Njoo geto upate jibusorry mtoa maada kwani niwakiume?
ya chuga my 😂😂😁🙈🤣🤣 bby leo umevuta ya wapi?